Ratiba itajipa tu.
Mwanzoni hata ukimtazama tu unakuwa unataka, hata kama yeye kachukia.
Baada ya miaka miwili, mpaka akufurahishe, akuchekeshe, ndio unataka.
Baada ya miaka mitano, mpaka unywe valuu/grants/zed..
Baada ya miaka kumi, mpaka uangalia porno,
Baada ya miaka 20, mpaka akudai, apige kelele, atishie kukushitaki, halafu unywe pombe na uangalie porno, ndio unampa....
Sijamaliza miezi sita tangia nioe, na kwa bahati nzuri mke wangu ni mjamzito .
kila siku huwa nafanya nae mapenzi napiga bao moja au mawili;
nimewahi kusikia ukiendekeza unaweza kudhoofisha afya.
Wana JF ipi ni ratiba nzuri ya kufanya mapenzi, KARIBUNI
Sijamaliza miezi sita tangia nioe, na kwa bahati nzuri mke wangu ni mjamzito .
kila siku huwa nafanya nae mapenzi napiga bao moja au mawili;
nimewahi kusikia ukiendekeza unaweza kudhoofisha afya.
Wana JF ipi ni ratiba nzuri ya kufanya mapenzi, KARIBUNI
Sijamaliza miezi sita tangia nioe, na kwa bahati nzuri mke wangu ni mjamzito .
kila siku huwa nafanya nae mapenzi napiga bao moja au mawili;
nimewahi kusikia ukiendekeza unaweza kudhoofisha afya.
Wana JF ipi ni ratiba nzuri ya kufanya mapenzi, KARIBUNI
MITINDO YA KUFANYA MAPENZI NA MWANAMKE MJAMZITO. Dokta anaweza kushauri. Kama mnaona aibu kuliza, basi mitandao ya kingereza ukiandika tu, Sex and Pregnancy: How to Make Love to a Pregnant Woman. Basi utakuwa mtaalam na mkeo atafurahia utaalam wako, heheh.
Wanawake wa kiswaili wanajua mitindo mitatu tu wakiwa wajawazito, NNALEA, KACHUME MBOGA NA PANDA FARASI basi HEHEH
Hivi, mwanamke akiwa na mimba changa anapenda sana kufanya mapenzi , kiufupi hamu yake ya kufanya mapenzi inaongezeka zaidi kipindi hiki. Kwaiyo wala husiwe na wasiwasi, fanya tu uwezavo wala hatosema basi, ila atafurahia tu. Na kama haukufanya nae, basi utamchanganya akili na ugomvi utaanza. Hiyo hata vitabuni imeandikwa, nenda kamulize dokta atakuelewesha vizuri. Sababu mwili wa mwanamke una change hata ubongo wake pia unachange.
Ila mimba ikifika miezi 4-5, ile hali ya kupenda kufanya mapenzi mara kwa mara inabadirika kwake. Sababu tumbo linakuwa kubwa na anajiona mzito na mvivu wa kufanya lolote lile, na hata kufanya mapenzi ataona uvivu, tabu na uzito. Vile vile tumbo kubwa linazuia kufanya mapenzi, kwaiyo ataona bora ahache kufanya uwo mchezo, kwanza anaumia mkandamizo. Kwaiyo ukitaka kufanya nae mapenzi uwe mjuzi kweli kweli na uelewe tatizo lake, tena umshawishi kitaalam haswa, kama si hivo utanyimwa kila siku kaka yetu. Hapo ujue kubembeleza, ukifos, umekwisha. Labda ukatafute kismall house, na hiyo ndio itasababishe ndoa yako ife kabisa.
La kufanya: Wajuzi wanasema tumia mda mwingi sana kwa mkeo, wanawake wajawazito ujiskia wapweke sana na uwa na mawazo yasio simulizika. Naskia wanaota ndoto za ajabu ajabu, kuhusu mtoto alie tumboni. Ila hawasimuli mtu. Ukiwa nae shika shika tumbo lake tu, maana pale ndio penye tatizo. Kama kumwambia ebu nikupake mafuta tumboni mke wangu, heheh. Au kumwambia tumbo lake linang`aa na umelipenda. Au unamsaidia kazi za home. Unamfulia mara moja moja, na kumpikia. Ukimshauri apumzike. Mwanamke akiwa mjamzito tumbo kubwa hawezi kuinama, kwaiyo kazi za kuinama home ukimsaidia, itakuwa msaada mkubwa kwake. Hata kama ukaona anaweza kufanya kila kitu na anakukatalia husimsaidie, we msaidie tu na mwambie unamuonelea uruma na hali alio nayo.
Ukimuacha na tumbo, na kazi zote peke yake, na unajifanya hauna time wala muda wa kukaa nae, basi hata yeye atajiskia haumjari kwa vile ana mimba, atakuona ni mtu mbaya, ham na wewe atokuwa nayo, na ugomvi utakuwa hauishi, na mwisho kuchukiana. Kwaiyo hata akizaa ile chuki kwako itakuwepo, wala hato kuamini na wala hato kupenda tena kama zamani. Hiyo ndio ratiba ya maisha ya ndoa.
Kaka piga wakati huu wa ujana maana uzeeni fainali hayo utayaona
i have only come to say hi!!!!!!!!:A S 103::A S 103:
hahahahahahaha mbavu zangu mkuusubiri akisha zaa utamchoka tu. Hata sisi mwanzo ilikuwa hivyo lakini ratiba imetulia sasa, mara mbili kwa wiki, halafu ni bao moja tu
hahahahahahahahahaha mkuuu umeua mkuuu hahhahahaRatiba itajipa tu.
Mwanzoni hata ukimtazama tu unakuwa unataka, hata kama yeye kachukia.
Baada ya miaka miwili, mpaka akufurahishe, akuchekeshe, ndio unataka.
Baada ya miaka mitano, mpaka unywe valuu/grants/zed..
Baada ya miaka kumi, mpaka uangalia porno,
Baada ya miaka 20, mpaka akudai, apige kelele, atishie kukushitaki, halafu unywe pombe na uangalie porno, ndio unampa....