K kirerenya JF-Expert Member Joined Aug 27, 2013 Posts 1,696 Reaction score 2,253 Nov 1, 2017 #1 Ratiba ya hatua za awali za michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) imetoka hii leo. Mshindi wa kombe hilo la FA hupata nafasi ya kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kombe la Shirikisho Barani Africa hapo mwakani. Ratiba hiyo inayoanza hapo kesho Novemba 2 bingwa mtetezi wa michuano hiyo ni klabu ya Simba SC ambayo imelitwaa baada ya kuifunga Mbao FC mabao 2-1.
Ratiba ya hatua za awali za michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) imetoka hii leo. Mshindi wa kombe hilo la FA hupata nafasi ya kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kombe la Shirikisho Barani Africa hapo mwakani. Ratiba hiyo inayoanza hapo kesho Novemba 2 bingwa mtetezi wa michuano hiyo ni klabu ya Simba SC ambayo imelitwaa baada ya kuifunga Mbao FC mabao 2-1.
Clark boots JF-Expert Member Joined Jun 5, 2017 Posts 6,770 Reaction score 6,202 Nov 2, 2017 #2 Tilia ww... Mikia SC a.k.a Breed SC toka lini wakawa mabingwa....?