Ratiba ya Azam Sports Federation Cup hii hapa

Ratiba ya Azam Sports Federation Cup hii hapa

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253
Ratiba ya hatua za awali za michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) imetoka hii leo.
azam.png

Mshindi wa kombe hilo la FA hupata nafasi ya kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kombe la Shirikisho Barani Africa hapo mwakani.

ratiba.jpg
Ratiba hiyo inayoanza hapo kesho Novemba 2 bingwa mtetezi wa michuano hiyo ni klabu ya Simba SC ambayo imelitwaa baada ya kuifunga Mbao FC mabao 2-1.
 
Back
Top Bottom