Ratiba ya CAF na Ligi Kuu

Ratiba ya CAF na Ligi Kuu

mtungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2021
Posts
270
Reaction score
435
Wakuu lini izi latiba zinatoka rasmi Kama ya ligi kuu inaanza mwezi ujao latba bado ata ya caf bado hawajajua nchi zitakazo shiliki nini au Kuna ligi bado zinaendelea
 
Latiba???

Aibu naona Mimi..unaishi sehemu gani dar?Na uko field ofisi gani!
 
Aisee hizi shule za siku hizi
 
Wakuu lini izi latiba zinatoka rasmi Kama ya ligi kuu inaanza mwezi ujao latba bado ata ya caf bado hawajajua nchi zitakazo shiliki nini au Kuna ligi bado zinaendelea
Misri bado wanaendelea na ligi kuu. Mashindano yataanza mwanzoni mwa September.
 
Inasikitisha aisee. Pole mpendwa ila ratiba zitatoka tuu kuwa na subira.
 
Back
Top Bottom