GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mnaogawa Vyakula na Vinywaji tunaomba katika ile Sufuria ya Nyama muwe mnawaachia Sisi Waombolezaji wenyewe ndiyo tuwe tunajipakulia kwani wengine tukipakuwa huwa tunapakuwa vya Kula Siku Mbili Tatu huku Majumbani mwetu Uswahilini.
Na hakikisheni kuwa pale mkiwa mnaanza zamu ya kugawa Vinjwaji muwe mnarudia rudia kila baada ya Nusu Saa lakini kama itatokea kutakuwa na Pombe kama ulivyo Utamaduni wa Marehemu hasa kwa Kabila lake tunaomba mtuachie tu Waombolezaji tuwe tunajichagulia tu wenyewe idadi ya Bia au Wine za Kuchukua.
Kama kuna Mtu ana Ratiba kamili hasa ya Chakula na Vinywaji naomba aniwekee hapa tafadhali.
Nawasilisha.
Na hakikisheni kuwa pale mkiwa mnaanza zamu ya kugawa Vinjwaji muwe mnarudia rudia kila baada ya Nusu Saa lakini kama itatokea kutakuwa na Pombe kama ulivyo Utamaduni wa Marehemu hasa kwa Kabila lake tunaomba mtuachie tu Waombolezaji tuwe tunajichagulia tu wenyewe idadi ya Bia au Wine za Kuchukua.
Kama kuna Mtu ana Ratiba kamili hasa ya Chakula na Vinywaji naomba aniwekee hapa tafadhali.
Nawasilisha.