sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
game zenu za away ni ngumu balaa, kuna stoke, arsenal, man u na city
Nimeziona Mkuu.. Yaani nimeshapoteza matumaini kabla ya hata kufika huko.. Tatizo tuna kocha ambae ni mzuri kwa timu za kawaida (yaani kama Tottenham, Swansea etc) lakini kwa Livepool hafai.. Liverpool ni timu kubwa sana Ulaya na wengi hawalijui hili..