Ratiba ya hatua ya makundi ya UEFA champions league

Ratiba ya hatua ya makundi ya UEFA champions league

medsebapol

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
327
Reaction score
225
Ratiba kamaili ya hatua ya makundi ya Uefa champions League imetoka. Timu za Uingereza zinaonekana kuwa na ahueni kwenye hatua hii kutokana na kutokuwa kwenye makundi ya vifo huku Leicester wakiwa kwenye kundi ambalo unaweza kuliita nyanya zaidi.

Kwa ratiba hii unatakiwa kuwa na matarajio ya kushuhudia moja ya hatua 16 bora nzuri na yenye ushindani zaidi kwa uwezekano wa vilabu vikubwa kubaki kwenye hatua ya makundi ni mdogo sana.

Group A - PSG (FRA), Arsenal (ENG), Basel (SUI), Ludogorets (BUL)

Group B - Benfica (POR), Napoli (ITA), Dynamo Kyiv (UKR), Besiktas (TUR)

Group C - Barcelona (ESP), Man. City (ENG), Monchengladbach (GER), Celtic (SCO)

Group D - Bayern (GER), Atletico (ESP), PSV (NED), Rostov (RUS)

Group E - CSKA Moskva (RUS), Leverkusen (GER), Tottenham (ENG), Monaco (FRA)

Group F - Real Madrid (ESP), Dortmund (GER), Sporting CP (POR), Legia (POL)

Group G - Leicester (ENG), Porto (POR), Club Brugge (BEL), Kobenhavn (DEN)

Group H - Juventus (ITA), Sevilla (ESP), Lyon (FRA), Dinamo Zagreb
3c2f4155-029d-4dd0-9f35-074ad7b6f085.jpg
 
FC BARCELONA MABINGWA SIJAONA TIMU YA KUIZUIA
VIVA MSN

1472145623644.jpg
 
Barca msimu huu hawafiki popote pale
 
Back
Top Bottom