Uchaguzi 2020 Ratiba ya Kampeni ya Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuanzia Oktoba 18 - 27, 2020

Uchaguzi 2020 Ratiba ya Kampeni ya Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuanzia Oktoba 18 - 27, 2020

Nmeshakuambia peleka upumbavu na utopolo wako huko unatumia njia za kizamani sana badilisha aina ya uwasilishaji wa hoja zako wanaJF wanakuona zezeta
Nmeshakuambia peleka upumbavu na utopolo wako huko unatumia njia za kizamani sana badilisha aina ya uwasilishaji wa hoja zako wanaJF wanakuona zezeta
Kusema ukweli kuwa Mbowe alikula michango yangu kama mbunge ni kosa?
 
Hivi ratiba ya maeneo wanaiweka wao halafu NEC wanawapangia siku tu au kila kitu wanapangiwa na NEC? Nauliza hivyo maana sina nijualo kwenye siasa lakini naona kama kuna maeneo yanarudiwa huku mengine yakiachwa kabisa
Ratiba unapanga ila NEC inaangalia hiyo siku na eneo kma kuna chama kingine either utasogeza mbele ratiba au mkutano utafutwa.
Mfano ukute mbeya mjini ipo booked na vyama labda 10 kuanzia leo mpaka tarehe 27 ina maana huwezi tena kanyaga huko!!

So mgombea ana draft tu ila NEC ndio ina fanya reonciliation ili wagombea wasigongane eneo moja. Sema hii changamoto ni vyama vidogo unakuta vimebook mkoa mzima labda Songwe kwa kampeni ya siku 3 lakini havifanyi kampeni.
Kwahiyo Lissu au JPM akitaka kwenda anazuiwa sababu eti kuna mgombea Urais wa NRA huko!! Hii ni changamoto sana kwenye upangaji ratiba
 
YEHODAHA

Umezidi uchokozi.
Hahahaa!

Membe anaenda kuwikiwa na Lisu
 
Waislamu walio wengi ni BAKWATA .PONDA ni siasa kali huwa anawaporomoshea mitusi BAKWATA

Ukishakuwa na PONDA tu ujue waislamu walio wengi ambao ni BAKWATA kura zao hupati
Hakuna mtu asiyependwa na waislamu wa BAKWATA kama huyo shehe Ponda
🤣🤣🤣 mimi ni Muislam na adui namba moja wa waislam ni Bakwata yaani hatutaki hata kuisikia.
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Strategically hakupaswa kurudi Ikungi, na Singida badala yake hiyo tarehe 25 angepiga Mwanza( Nyamagan & Ilemela), huo ulikuwa ni msumali wa inchi 6 kwenye jeneza LA ccm
 
Vyovyote iwavyo wahakikishe Moshi mjini inapigwa show ya kufunga mwaka hapo ndio kitovu cha upinzani nchini itakua ajabu sana safari hii mkutano usifanyike
 
Ushauri wangu chadema siku ya kufunga kampeni Dar es salaam, ikiwezekana fanyieni jangwani, pia wilaya zote za dar ziwepo hapo, pia mkutano au hotuba ya mh.lissu iandikwe rasmi, pia apewe muda wa kutosha kuhutubia kama masaa matatu hivi, pia ikiwezekana irushwe live na radio na TV, bila kusahau mitandao ya kijamii.Ombeni TV moja au mbili irushe mkutano huo, hoja zote zilizotolewa na jpm akiwa dar zijibiwe ipasavyo.Siku hyo mh.lissu ashauliwe kushusha jazba atulie hasa.pia hotuba hiyo ionyeshe mahali tulikotoka,tulipo, tunakoelekea na tulipokwama na namna ya kutoka iwapo chadema ikichaguliwa.pia wabunge wa dar wanadiwe ipasavyo kwa kuonyesha kwa nn wao wachaguliwe na sio wa ccm.Pia nashauri wafuatao wawepo, ponda, prof.baregu,sheikh Katimba,mwamakula, ikiwezekana na askofu bagonza waalikwe.Pia wajitaidi mkutano uishe saa kumi na mbili jioni bila kuzidisha muda
Jangwani bado tope la mafuriko ya mvua lipo
apige palepale Kawe Tanganyika Parkers alikotukania Gwajima,
wagombea wote na Madiwani wakiongozwa na Halima Mdee wawepo
ilo la Pomda na Mwamakula nalikubali kabisa
 
Vyovyote iwavyo wahakikishe Moshi mjini inapigwa show ya kufunga mwaka hapo ndio kitovu cha upinzani nchini itakua ajabu sana safari hii mkutano usifanyike
Sasa priscus atawaambiaje ccm hali mbaya alionayo,mana mwaka huu kilimanjaro majimbo yote cdm wanachukua bado arusha na manyara
 
Ratiba iko tight.
Lakini kibishi hivyo hivyo tutaendelea kumkimbiza mwizi kimya kimya. Lazima tusonge mbele kikamanda.
Chopa itatoboa nasikitika sioni Mtwara.
Naona mwenzie anakimbiza kikamolisha miradi na kukabidhi hasa yenye ukakaai ...nyumba za wazee wake

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Strategically hakupaswa kurudi Ikungi, na Singida badala yake hiyo tarehe 25 angepiga Mwanza( Nyamagan & Ilemela), huo ulikuwa ni msumali wa inchi 6 kwenye jeneza LA ccm
Kivipi ? ninavyojua mimi ni kuwa anafuata ratiba ya NEC
 
Back
Top Bottom