Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Hebu acha mambo ya kitoto unachokifanya ni propaganda za kitoto hamna mtu atakayewenza kununua huu upumbavu wako wa kujifanya wewe ni chademaKamanda mwenzangu tusidamganyane. Ukweli unatuweka huru.
Nikuonyeshe kadi niliyochukua mwembe yanga wakati wa Dk Slaa?Hebu acha mambo ya kitoto unachokifanya ni propaganda za kitoto hamna mtu atakayewenza kununua huu upumbavu wako wa kujifanya wewe ni chadema
Nmeshakuambia peleka upumbavu na utopolo wako huko unatumia njia za kizamani sana badilisha aina ya uwasilishaji wa hoja zako wanaJF wanakuona zezetaNikuonyeshe kadi niliyochukua mwembe yanga wakati wa Dk Slaa?
Nmeshakuambia peleka upumbavu na utopolo wako huko unatumia njia za kizamani sana badilisha aina ya uwasilishaji wa hoja zako wanaJF wanakuona zezeta
Kusema ukweli kuwa Mbowe alikula michango yangu kama mbunge ni kosa?Nmeshakuambia peleka upumbavu na utopolo wako huko unatumia njia za kizamani sana badilisha aina ya uwasilishaji wa hoja zako wanaJF wanakuona zezeta
Ratiba unapanga ila NEC inaangalia hiyo siku na eneo kma kuna chama kingine either utasogeza mbele ratiba au mkutano utafutwa.Hivi ratiba ya maeneo wanaiweka wao halafu NEC wanawapangia siku tu au kila kitu wanapangiwa na NEC? Nauliza hivyo maana sina nijualo kwenye siasa lakini naona kama kuna maeneo yanarudiwa huku mengine yakiachwa kabisa
Bado sijajua ila watatangaza ni wapiHivi manyara atahutubia sehem gani!? Natamani angalau mkutano wake mmoja nishiriki
Wa Mtwara tutamfuata Lindi.Jamani Mtwara mbona katusahau?
🤣🤣🤣 mimi ni Muislam na adui namba moja wa waislam ni Bakwata yaani hatutaki hata kuisikia.Waislamu walio wengi ni BAKWATA .PONDA ni siasa kali huwa anawaporomoshea mitusi BAKWATA
Ukishakuwa na PONDA tu ujue waislamu walio wengi ambao ni BAKWATA kura zao hupati
Hakuna mtu asiyependwa na waislamu wa BAKWATA kama huyo shehe Ponda
Strategically hakupaswa kurudi Ikungi, na Singida badala yake hiyo tarehe 25 angepiga Mwanza( Nyamagan & Ilemela), huo ulikuwa ni msumali wa inchi 6 kwenye jeneza LA ccmRATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI
TAREHE 20.10.2020
1. MWANGA
2. LUSHOTO
TAREHE 21.10.2020
1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN
TAREHE 22.10.2020
1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA
TAREHE 23.10.2020
1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU
TAREHE 24.10.2020
1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA
TAREHE 25.10.20201
1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI
TAREHE 26.10.2020
1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI
TAREHE 27.10.2020
DAR ES SALAAM STAND UP .
TAREHE 28.10. 2020
KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.
Share kila mtu aipate ratiba hii
Alphonce Shadrack Paul
WAKOLOSAI 3:17Mpagani wewe Mungu huwa anabariki watu sio ratiba.
Bila hivyo tuhesabu maumivu, vijijini ndo walikuwa wakituangusha lakini wameelewa somoRatiba iko tight.
Lakini kibishi hivyo hivyo tutaendelea kumkimbiza mwizi kimya kimya. Lazima tusonge mbele kikamanda.
Ratiba ngumu amejitahidi kupta maeneo yote ,shinyanga mjini alikuja awam ya kwanza ile ya kuzindua kila kandaKwa nini Hakuhutubia Shinyanga mjini?
Jangwani bado tope la mafuriko ya mvua lipoUshauri wangu chadema siku ya kufunga kampeni Dar es salaam, ikiwezekana fanyieni jangwani, pia wilaya zote za dar ziwepo hapo, pia mkutano au hotuba ya mh.lissu iandikwe rasmi, pia apewe muda wa kutosha kuhutubia kama masaa matatu hivi, pia ikiwezekana irushwe live na radio na TV, bila kusahau mitandao ya kijamii.Ombeni TV moja au mbili irushe mkutano huo, hoja zote zilizotolewa na jpm akiwa dar zijibiwe ipasavyo.Siku hyo mh.lissu ashauliwe kushusha jazba atulie hasa.pia hotuba hiyo ionyeshe mahali tulikotoka,tulipo, tunakoelekea na tulipokwama na namna ya kutoka iwapo chadema ikichaguliwa.pia wabunge wa dar wanadiwe ipasavyo kwa kuonyesha kwa nn wao wachaguliwe na sio wa ccm.Pia nashauri wafuatao wawepo, ponda, prof.baregu,sheikh Katimba,mwamakula, ikiwezekana na askofu bagonza waalikwe.Pia wajitaidi mkutano uishe saa kumi na mbili jioni bila kuzidisha muda
Sasa priscus atawaambiaje ccm hali mbaya alionayo,mana mwaka huu kilimanjaro majimbo yote cdm wanachukua bado arusha na manyaraVyovyote iwavyo wahakikishe Moshi mjini inapigwa show ya kufunga mwaka hapo ndio kitovu cha upinzani nchini itakua ajabu sana safari hii mkutano usifanyike
Chopa itatoboa nasikitika sioni Mtwara.Ratiba iko tight.
Lakini kibishi hivyo hivyo tutaendelea kumkimbiza mwizi kimya kimya. Lazima tusonge mbele kikamanda.
Kivipi ? ninavyojua mimi ni kuwa anafuata ratiba ya NECStrategically hakupaswa kurudi Ikungi, na Singida badala yake hiyo tarehe 25 angepiga Mwanza( Nyamagan & Ilemela), huo ulikuwa ni msumali wa inchi 6 kwenye jeneza LA ccm