Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Ratiba ya Kisomo cha Dua ya Arubaini ya Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi wa Awamu ya Tatu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Pili.
đź“… 7 Aprili, 2024.
📍 Ikulu Zanzibar.
đź“… 7 Aprili, 2024.
📍 Ikulu Zanzibar.