Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
Pole mkuu kweli uko na shida ya Majiii... hicho kichwa cha habari baba..hii ratiba ya mgao wa maji iliyotolewa na dawasa mbona hawaifuatilii au ni usanii wa kisiasa maana ratiba ya maji waliyosema jana yatatoka Mbezi juu ikiwemo lakini hola
nimeshindwa ku edit mkuuPole mkuu kweli uko na shida ya Majiii... hicho kichwa cha habari baba..
hii ratiba ya mgao wa maji iliyotolewa na dawasa mbona hawaifuatilii au ni usanii wa kisiasa maana ratiba ya maji waliyosema jana yatatoka Mbezi juu ikiwemo lakini hola