Ratiba ya mechi za Yanga za kujipima nguvu 2024/2025

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726

Timu ya Yanga imealikwa nchini Afrika Kusini katika mashindano ya Toyota Cup na TS Galaxy.
Mashindano ya TS Galaxy yatarushwa live na kituo cha matangazo cha SABC na mashindano ya Toyota cup yatarushwa live na kituo cha matangazo cha Super sport.

Tarehe 20/07/2024
Yanga vs Augsburg

Tarehe 28/07/2024
Yanga vs Kaizer Chiefs
Baada ya hapo timu itarudi Dar es salaam kwaajili ya kujiandaa na mechi ya mwisho ya kirafiki itakayopigwa kwenye kilele cha siku ya mwananchi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…