Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Thanks a lot.
Akishinda mmojawapo kati ya hizo itamweka pazuri
Al Ahly atafuzu mapema, hivyo Yanga atakuwa na faida ya kucheza na timu ambayo itakuwa teyari imefuzu na hii ni fursa kwa Yanga kwassbabu Al Ahly wanaweza kubweteka na zaidi watakuwa hawaitaji ushindi.
Yaan CR belouzdad umfunge kwa mkapaa? Labda sare tena ya kutafuta.Al Ahly atafuzu mapema, hivyo Yanga atakuwa na faida ya kucheza na timu ambayo itakuwa teyari imefuzu na hii ni fursa kwa Yanga kwassbabu Al Ahly wanaweza kubweteka na zaidi watakuwa hawaitaji ushindi.
Pia, Yanga ana mechi mbili za nyumbani na timu anazochezanazo anaweza kuzifunga kwa Mkapa na hii inaongeza possibity ya Yanga kuingia robo.
Muda utathibitisha.
Hao wanachapika vizuri sana.Yaan CR belouzdad umfunge kwa mkapaa? Labda sare tena ya kutafuta.
Thubutuu,Hao wanachapika vizuri sana.
Ukipigwa Safar akuna shrkishHapo nawapa alama 3
Alama taraaa
Alama trois
Alama three na hizo mtazipata taifa Na medeama
Mkishindwa kushinda hapo
Tuseme bai bai
Wazee wa ma mvp
πππ tukutane shirkisho na kina berkane
Swali fikirishi he wamempata mbadala wa mayele? kwenye dirisha dogo maana minong'ono ni mingiAl Ahly atafuzu mapema, hivyo Yanga atakuwa na faida ya kucheza na timu ambayo itakuwa teyari imefuzu na hii ni fursa kwa Yanga kwassbabu Al Ahly wanaweza kubweteka na zaidi watakuwa hawaitaji ushindi.
Pia, Yanga ana mechi mbili za nyumbani na timu anazochezanazo anaweza kuzifunga kwa Mkapa na hii inaongeza possibity ya Yanga kuingia robo.
Muda utathibitisha.
Uto shughuli umeisha tayari, hayo mengine ni kutiana moyo.Al Ahly atafuzu mapema, hivyo Yanga atakuwa na faida ya kucheza na timu ambayo itakuwa teyari imefuzu na hii ni fursa kwa Yanga kwassbabu Al Ahly wanaweza kubweteka na zaidi watakuwa hawaitaji ushindi.
Pia, Yanga ana mechi mbili za nyumbani na timu anazochezanazo anaweza kuzifunga kwa Mkapa na hii inaongeza possibity ya Yanga kuingia robo.
Muda utathibitisha.
Utaratibu ulibadilika, hakuna shirikisho tena. Wakutema bungo CL wanarudi kwenye ligi ya madafu kupambana na Mashujaa.Hapo nawapa alama 3
Alama taraaa
Alama trois
Alama three na hizo mtazipata taifa Na medeama
Mkishindwa kushinda hapo
Tuseme bai bai
Wazee wa ma mvp
[emoji16][emoji16][emoji16] tukutane shirkisho na kina berkane
Swali fikirishi ke wamempata mbadala wa mayele? kwenye dirisha dogo maana minong'ono ni mingi QUOTE]