Ratiba ya NBC PL iangaliwe upya

Ratiba ya NBC PL iangaliwe upya

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Nimejaribu kuangalia ratiba ya NBC PL nimejikuta nabubujikwa na machozi kwa uchungu, mashujaa aliyecheza na Yanga kigoma amecheza Jana na Singida BS na kunyukwa bao tatu sufuri wakati huohuo Yanga yenyewe inacheza kesho, hapa imekaaje wakuu?

Jambo hili limekuwa likijirudia Mara kwa Mara na hakuna anaejali kabisa matokeo yake timu hazipati muda wa kutosha kujiandaa dhidi ya mechi inayokuja huku Simba na yanga zikinufaika na ratiba hiyo,kwa Nini team zilizocheza leo zisicheze michezo yake ijayo siku moja??

Hussein Massanza wewe ni msemaji wa timu ya Singida na ni miongoni mwa wadau wa soka nchini unaweza kutusaidia kujibu hili na kulifikisha ktk mamlaka husika...
 
Inashangaza kweli yan simba na yanga kuna namna wananufaika sana,,hata simba tumecheza j3 na azam then azam anacheza leo alhamis na namungo wakati huo simba tuna mechi mpaka jmosi na viporo bdo vipo hapo nashangaa mbna kama wengne hawapumzishwi kabsa?
 
Inashangaza kweli yan simba na yanga kuna namna wananufaika sana,,hata simba tumecheza j3 na azam then azam anacheza leo alhamis na namungo wakati huo simba tuna mechi mpaka jmosi na viporo bdo vipo hapo nashangaa mbna kama wengne hawapumzishwi kabsa?
Imekaa kiupendeleo
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya NBC PL nimejikuta nabubujikwa na machozi kwa uchungu, mashujaa aliyecheza na Yanga kigoma amecheza Jana na Singida BS na kunyukwa bao tatu sufuri wakati huohuo Yanga yenyewe inacheza kesho, hapa imekaaje wakuu?

Jambo hili limekuwa likijirudia Mara kwa Mara na hakuna anaejali kabisa matokeo yake timu hazipati muda wa kutosha kujiandaa dhidi ya mechi inayokuja huku Simba na yanga zikinufaika na ratiba hiyo,kwa Nini team zilizocheza leo zisicheze michezo yake ijayo siku moja??

Hussein Massanza wewe ni msemaji wa timu ya Singida na ni miongoni mwa wadau wa soka nchini unaweza kutusaidia kujibu hili na kulifikisha ktk mamlaka husika...
Timu ndogo hazitakiwi kuwa na haki
 
Hapo Uto anaumiiia kuona moja ya tawi lake linaonewa. Utani kidogo.

Nikiwa serious zaidi, ni kweli timu ndogo zinaonewa sana kwenye ratiba. Kwa mfano, sijawahi kuona Simba au Yanga inacheza saa 9 mchana, labda kwenye ngao iliyopita ila timu ndogo zinapangiwa muda huo mara kwa mara kwenye ratiba za NBC.

Mimi nadhani kuna mambo mengi ya kufanya ili kuleta usawa katika ligi. TFF ifungue huu mjadala rasmi ili watu watoe dukuduku lao na wafanyie kazi haya maoni.
 
Ndio maana wanapambana kwenda Simba au young Africa
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya NBC PL nimejikuta nabubujikwa na machozi kwa uchungu, mashujaa aliyecheza na Yanga kigoma amecheza Jana na Singida BS na kunyukwa bao tatu sufuri wakati huohuo Yanga yenyewe inacheza kesho, hapa imekaaje wakuu?

Jambo hili limekuwa likijirudia Mara kwa Mara na hakuna anaejali kabisa matokeo yake timu hazipati muda wa kutosha kujiandaa dhidi ya mechi inayokuja huku Simba na yanga zikinufaika na ratiba hiyo,kwa Nini team zilizocheza leo zisicheze michezo yake ijayo siku moja??

Hussein Massanza wewe ni msemaji wa timu ya Singida na ni miongoni mwa wadau wa soka nchini unaweza kutusaidia kujibu hili na kulifikisha ktk mamlaka husika...
Utakuwa ni taahira kwenye masuala ya soka.

Afadhali ukae kimya ufiche ujinga wako.
 
Nimejaribu kuangalia ratiba ya NBC PL nimejikuta nabubujikwa na machozi kwa uchungu, mashujaa aliyecheza na Yanga kigoma amecheza Jana na Singida BS na kunyukwa bao tatu sufuri wakati huohuo Yanga yenyewe inacheza kesho, hapa imekaaje wakuu?

Jambo hili limekuwa likijirudia Mara kwa Mara na hakuna anaejali kabisa matokeo yake timu hazipati muda wa kutosha kujiandaa dhidi ya mechi inayokuja huku Simba na yanga zikinufaika na ratiba hiyo,kwa Nini team zilizocheza leo zisicheze michezo yake ijayo siku moja??

Hussein Massanza wewe ni msemaji wa timu ya Singida na ni miongoni mwa wadau wa soka nchini unaweza kutusaidia kujibu hili na kulifikisha ktk mamlaka husika...

Ujumbe umefika. Wahusika wamo humu pia.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja au Kama sijaeleweka toa ufafanuzi hapa wengi karba yangu tujijunze
 
Ligi yetu ina madhaifu mengi sana
Mashujaa
Ken gold
KAGERA sugar
JKT
Singida BS
Pamba jiji
Azam

AISEE hizi timu zinachezeshwa mpaka huruma
TImu inayopumzika zaidi ni Simba
hujaja kwa marefa ndo utaskia mpaka kizunguzungu!
Leo JKT Wamepewa penalt isiyojulikana imetokana na nini😅😅

Unafuatilia boli mpaka raha,ukiwa na manzi kama wewe kuangalia mpira nje ya home upende kelele tu.
 
Hapo Uto anaumiiia kuona moja ya tawi lake linaonewa. Utani kidogo.

Nikiwa serious zaidi, ni kweli timu ndogo zinaonewa sana kwenye ratiba. Kwa mfano, sijawahi kuona Simba au Yanga inacheza saa 9 mchana, labda kwenye ngao iliyopita ila timu ndogo zinapangiwa muda huo mara kwa mara kwenye ratiba za NBC.

Mimi nadhani kuna mambo mengi ya kufanya ili kuleta usawa katika ligi. TFF ifungue huu mjadala rasmi ili watu watoe dukuduku lao na wafanyie kazi haya maoni.
Mkuu vipi EPL?
 
Naangalia mechi ya Tabora hapa aiseee jua ni kali balaa... Kuna ulazima gani wa hii mechi kuchezwa muda huu? Leo kuna mechi 2 tu, kwa nini zote zisichezwe muda mmoja?? Hizi timu wakati mwingine zinakosa mapato kwa sababu kama hizi.
 
Back
Top Bottom