Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Umetoa ufafanuzi mzuri. Na wadau wa michezo wanatakiwa waelewe siyo mara zote timu za Ligi daraja la kwanza zimekuwa ni dhaifu.Timu 2 za daraja la chini zimepanda moja kwa moja - Kengold ya Mbeya na Pamba ya Mwanza.
Timu 2 za Ligi kuu zimeshuka moja kwa moja - Mtibwa ya Morogoro na Geita Gold ya Geita
Hizi playoffs zina lengo la kuongeza ushindani ligi kuu, timu 2 za ligi kuu na moja ya ligi ya chini zinashindana kuwania nafasi mbili za kurudi / kupanda ligi kuu, timu dhaifu inashuka / kurudi ligi ya chini.
Na mfano mzuri ni msimu uliopita pale Mbeya City iliposhushwa Ligi kuu na Mashujaa Fc katika mtoano wa aina hii.