johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaozungumzia kununulika kwa namna gani?Chama tawala na vyama vya upinzani ni tofauti sana.Kwenye upinzani kama cdm mkimpata asiyenunulika km Mbowe Ina bidi kushukuru tu.Chama tawala kazi nyingine waliyo nayo ni kununua wapinzani ili wake madarakani hata bila uhalali wowote.Ndoto zao Mbowe stoke wapate urahisi wa kununua huyo mwingine
Hivi nyie wachaga mbona hamtaki kukosolewa? CHADEMA inaendeshwa kwa Kodi zetu ni lazima mtoe majibu sahihi. KENGEWewe unauliza kama nani?
Tuwaige nyie CCM ili chama chetu kiwe cha kipuuzi kama chenu
Kaeni na mambo yenu yakwetu ayawahusu.
Bwashee, mwenyekiti angekuwa Molel, Silinde, Katambi, Waitara, Juakali, Nasari na mzee Mdee na wenzake, CDM ingekuwa kama TLP,Unaozungumzia kununulika kwa namna gani?
CCM ni Ile Ile:CHADEMA ni chama cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi.
Ni vema ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wake ikatolewa mapema ili kuepuka undugunization huko mbele ya safari.
Igeni CCM ambako ni marufuku ndugu kubebana.
Wednesday, ubarikiwe sana!
Mbona hujamuweka Mbowe?
Utahangaika sana rafiki, hatoki mtu pale unapopafikiriaCHADEMA ni chama cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi.
Ni vema ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wake ikatolewa mapema ili kuepuka undugunization huko mbele ya safari.
Igeni CCM ambako ni marufuku ndugu kubebana.
Wednesday, ubarikiwe sana!
Mbona hujamuweka Mbowe?
Bwashee unafanya sana kosa kumshauri mmiliki wa chama kutoweka jina la Mbowe kwenye uenyekiti. CHADEMA ni mali ya familia hivyo kumweka mtu baki kwenye nafasi ya uenyekiti ni hatari.
Umenena ukweli mkuu. Mtu kama mbowe mkimpa uraisi cha kwanza ni kuondoa ukomo wa uraisi, wanafamilia wa mzee mtei tunawakabidhi BOT .Chama tawala na vyama vya upinzani ni tofauti sana.Kwenye upinzani kama cdm mkimpata asiyenunulika km Mbowe Ina bidi kushukuru tu. Chama tawala kazi nyingine waliyo nayo ni kununua wapinzani ili wake madarakani hata bila uhalali wowote.Ndoto zao Mbowe stoke wapate urahisi wa kununua huyo mwingine.
Hivi,mara ya mwisho walipata hela/kodi za wananchi lini?CHADEMA ni chama cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi.
Ni vema ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wake ikatolewa mapema ili kuepuka undugunization huko mbele ya safari.
Igeni CCM ambako ni marufuku ndugu kubebana.
Wednesday, ubarikiwe sana!
Vikao vya Maridhiano vina posho ujueHivi,mara ya mwisho walipata hela/kodi za wananchi lini?
Uchaguzi huu atatoka tuUtahangaika sana rafiki, hatoki mtu pale unapopafikiria
Hadi zikaendesha chama?Vikao vya Maridhiano vina posho ujue
Sasa kwanini kila siku Sukuma gang mnakishambulia hiki chama badala ya kushambulia ACT au Cuf?Watakwambia bado wanajenga chama , hiki chama bado kichanga kinazidiwa na ACT wazalendo
USSR