Hii imetilewa katika tangazo la serikali,Govt Notice
Baada ya walimu kucharazwa bakora, sasa ratiba ni kama ifuatavyo:
March-April ---Madaktari
April---May ---Wahandisi,wachumi
June ---Wanasheria
July ---Wahasibu
August ---Wanafunzi vyuo vikuu
Septemba ----Wainjilisi
December ----Wachungaji/Paroko/Mashehe
Wanafunzi nje wasiliana na balozi nchi unayosoma.
Mwendo ndio huo mpaka heshima irudi.Mnali karejeshwa wizarani kuratibu utaratibu huu.
NB Usipoliona kundi lako wasiliana haraka na DC aliyekaribu na kituo chako!