katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Tuambie unalala saa ngapi na pia unaamka saa ngapi?
Binafsi ni hivi kila siku
Kulala kuanzia 5:00usiku na kuendelea
Kuamka 11:15alfajiri
Nishazoea kiasi kwamba sihitaji alarm
Kwako ikoje ratiba
Binafsi ni hivi kila siku
Kulala kuanzia 5:00usiku na kuendelea
Kuamka 11:15alfajiri
Nishazoea kiasi kwamba sihitaji alarm
Kwako ikoje ratiba