Azathioprine
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 589
- 376
Nashukuru sanaSina uzoefu nazo lakini naona zinatumika na zinapendeza kwenye kweli,pia ni ngumu maana zinatengenezwa kwa udongo maalum,Mchanga kiasi na cement yaani ni aina ya blocks isipokuwa hizi zinatumia udongo,Mchanga na cement kiasi.
Hapo mwisho sijaelewa,unaposema Futi 20,halafu ukaweka 2*2 = 400 unamaanisha nini hapoKwanza lazima ujue mbao zetu zinatokea Mafinga na zimechemshwa na mashine ya dawa (treated).
Bei ya sokoni ni kama zifuatavyo:
FUTI 12
2*2 = 2900/=
2*4 = 5800/=
1*8 = 14000/=
1*10 = 18000/=
FUTI 20
2*2= 400/=
2*4= 750/=
2*6 = 1200/=
Ukitupigia simu ukataja unatokea JamiiForums tutakufurahisha kwenye bei. Usafiri mpaka site ni BURE kwa Dar es Salaam.
Mkuuu mbao za blandaring munauzaje?Kwanza lazima ujue mbao zetu zinatokea Mafinga na zimechemshwa na mashine ya dawa (treated).
Bei ya sokoni ni kama zifuatavyo:
FUTI 12
2*2 = 2900/=
2*4 = 5800/=
1*8 = 14000/=
1*10 = 18000/=
FUTI 20
2*2= 400/=
2*4= 750/=
2*6 = 1200/=
Ukitupigia simu ukataja unatokea JamiiForums tutakufurahisha kwenye bei. Usafiri mpaka site ni BURE kwa Dar es Salaam.
Mkuu tumechelewa kuona ujumbe. Bado unahitaji?Mkuuu mbao za blandaring munauzaje?
Hongera sana. Umefikia hatua gani? Kama unataka mbao tunazo [emoji16]Nimetoka juzi
Pambana nduguSijafika ni mwaka sasa, nadhani hata hizo kuta zitakua na nyufa.
Hizo ni 2*2 na bei yake ni 2,900.Mkuuu mbao za blandaring munauzaje?
ππHuwa naenda site kila ninapoishiwa na pesa mfukoni. Nikiyaangalia yale matofali, nafarijika, kisha narudi home ππ
Jamaa yangu alikaa kama mwaka na zaidi hajaenda site. Siku hiyo yuko kwenye ki grosare na washkaji wakawa wanamsisitiza awanunulie pombe yeye anadai hana hela.Wikiendi imefika. Kazi yetu ni kukumbusha na kuhimiza.
Haaaaaaaa madalali wakawa washafanya yaoJamaa yangu alikaa kama mwaka na zaidi hajaenda site. Siku hiyo yuko kwenye ki grosare na washkaji wakawa wanamsisitiza awanunulie pombe yeye anadai hana hela. Jamaa wakamwambia acha kutuzuga wewe, huna hela na huku tunaona karibia unamalizia mjengo pale kwenye kiwanja chako? Jamaa ndio kupanik kesho yake kaenda kakuta kweli jamaa wanapaua mjengo! Twendeni site jamani.
2Γ4 futi 750Hapo mwisho sijaelewa,unaposema Futi 20,halafu ukaweka 2*2 = 400 unamaanisha nini hapo