Azathioprine
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 589
- 376
Nashukuru sanaSina uzoefu nazo lakini naona zinatumika na zinapendeza kwenye kweli,pia ni ngumu maana zinatengenezwa kwa udongo maalum,Mchanga kiasi na cement yaani ni aina ya blocks isipokuwa hizi zinatumia udongo,Mchanga na cement kiasi.