Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Mkuu unajifanya kazi zote unadumaza uchumi, tugawane riziki.Vizuri sana mkuu, sababu kubwa namba 1 inayosababisha tuwatumie mafundi ni ukosaji wa vitendea kazi Vifaa.
Zamani nilikua nikiona meza inacheza cheza namwita fundi anakuja na nyundo na misumari mfukoni anagonga mara mbili tatu Anaondoka na 5000 na 2000 la piki piki hapo nishatumia...
Mimi kabla sijajenga nilinunua Kirikuu ambayo imenisaidia sana kama kupeleka mafundi site, kununua mwenyewe material kama cement nk. Nasimamia ujenzi mwanzo mwisho na wakimaliza jioni nawabeba nawarudisha,...
Mimi Kila siku asubuhi na mapema naenda kumwagilia kabla ya kwenda ofisini, na jioni napoludi home napitia ndipo naludi home. Na siku ofisini kukiwa hamna kazi hiyo siku ntashinda na mafundi nawasupport na story za hapa na pale jioni nageuka nao pamoja.
Mimi kukiwa na mafundi wanaendelea na kazi huwa nashinda huko, huwa siondoki kabisa. Ila kipindi ambacho mafundi hawapo huwa naenda kila wikiendi, naenjoy tu kushinda huko hata kama hakuna kinachoendelea
Hapana mkuu, sio kwamba siwaamini bali ni sehemu yangu ya kusimamia ujenzi wa nyumba yangu, kwa upande mwingine kwangu ni hobby. Faida inayopatikana ni pamoja na kuwarekebisha wanapokosea maana huwa nipo makini sana, kazi zangu huwa sipendi ziwe na makosa ya kijinga kijinga, mfano, fundi wangu haikutumia pipe level wakati wa kumimina msingi, matokeo yake wote mnajua kuwa msingi haukuwa level moja. Ili kurekebisha hili nilimbana sana atumie pipe level kwenye kupandisha top kozi na nilibaini kutofautiana kwa upande mmoja na mwingine kwa zaidi ya centimeter kumi! Hili ni kosa ambalo usipoliona mapema lazima litakuja kuonekana baada ya kupaua na fundi wa ujenzi ushamlipa na ashasepa!Unashinda nao kwa sababu huwaamini au unataka kujua yanayoendelea?
Mwanangu hizi bei za mwaka gani mbona zimepanda sana!!![emoji848]Kwanza lazima ujue mbao zetu zinatokea Mafinga na zimechemshwa na mashine ya dawa (treated).
Bei ya sokoni ni kama zifuatavyo:
FUTI 12
2*2 = 2900/=
2*4 = 5800/=
1*8 = 14000/=
1*10 = 18000/=
FUTI 20
2*2= 400/=
2*4= 750/=
2*6 = 1200/=
Ukitupigia simu ukataja unatokea JamiiForums tutakufurahisha kwenye bei. Usafiri mpaka site ni BURE kwa Dar es Salaam.
Bei zimepoa kiongoz kidog ckuizMwanangu hizi bei za mwaka gani mbona zimepanda sana!!![emoji848]
Izo bei za futi 12 kiongozBei zimepoa kiongoz kidog ckuiz
2×4 bei 5700
2×2 bei 2800
1×8 bei 13000
1×10 bei 17000
Ok sawa labda inategemea unachukulia wapi.Bei zimepoa kiongoz kidog ckuiz
2×4 bei 5700
2×2 bei 2800
1×8 bei 13000
1×10 bei 17000
Izo bei mbao za dawa au nyeupe kiongoziOk sawa labda inategemea unachukulia wapi.
Ila bei zilizopo sokoni hiz hapa chini
2×2=2200
2×4=5000
1×6=5000
1×8=10000
1×10÷14000
Hizo na dawa kaka..Izo bei mbao za dawa au nyeupe kiongozi
Izo bei sizo kiongoz angalia usipew mbao changaHizo na dawa kaka..
Nilikutana na dilema hii, niliamua kununua kifusi na kilinigharimu kama 1.2M pamoja na kujaza kwenye msingi wenyewe. Sikuchimba shimo kwasababu sikuwa na bajeti ya kujenga na kilikuwa ni kipindi cha mvua hivyo yangelibomoa vibaya sana endapo ningechimba bila kujenga.Wakuu naombeni mnipe mawazo
Nna site nmeshajenga kiti
Vyumba vitatu vyakulala moja ni self,sebule na min store na choo na bafu...
Sasa kifusi chakujaza pale juu naona ni karibu trip kadhaa...
Trip moja ni kaka 65000! Nkawaza hapa naweza maliza hata 500000 kwa kifusi tu...
Nkawaza labda nchimbe kwanza shimo la choo afu ule mchanga niumwage mule ndani...
Sasa kuchinba shimo mzee akaniambia itabid nilifukie kabisa ili lisititie!!!!! Ah nkabak nmeduwaa tena sababu pale hata maji sijavuta bado... sasa nfanyaje njenge shimo au niagize tu kifusi au au au
Nilikutana na dilema hii, niliamua kununua kifusi na kilinigharimu kama 1.2M pamoja na kujaza kwenye msingi wenyewe. Sikuchimba shimo kwasababu sikuwa na bajeti ya kujenga na kilikuwa ni kipindi cha mvua hivyo yangelibomoa vibaya sana endapo ningechimba bila kujenga.
Wakuu naombeni mnipe mawazo
Nna site nmeshajenga kiti
Vyumba vitatu vyakulala moja ni self,sebule na min store na choo na bafu...
Sasa kifusi chakujaza pale juu naona ni karibu trip kadhaa...
Trip moja ni kaka 65000! Nkawaza hapa naweza maliza hata 500000 kwa kifusi tu...
Nkawaza labda nchimbe kwanza shimo la choo afu ule mchanga niumwage mule ndani...
Sasa kuchinba shimo mzee akaniambia itabid nilifukie kabisa ili lisititie!!!!! Ah nkabak nmeduwaa tena sababu pale hata maji sijavuta bado... sasa nfanyaje njenge shimo au niagize tu kifusi au au au