Hakika nitawatafuta... Niko Dar hii hii...Hongera sana mkuu. Umejitahidi mno.
Sawa ukiwa tayari wasiliana nasi tukuuzie mbao, tutakusafirishia mzigo wako hadi site BURE kama upo ndani ya Dar es Salaam.
Jenga Nasi. Mbao Tanzania.
Asante mkuu... Nitawatafuta kabisa.Basi hapa tunakufikishia mzigo wako na hutalipia hata mia kwenye gharama za usafiri. Karibu muda wowote mkuu Kapumpuli.
Angalia breakdown hapa... Hii ni estimate ya Fundi tulifanya naye... View attachment 2134488
Hongera kwa hatua uliyofikia mkuu.nami Niko hatua hiyo pia.Angalia breakdown hapa... Hii ni estimate ya Fundi tulifanya naye... View attachment 2134488
Usifanye nikalia mkuu mafundi maiko walinicheza Shere kweye ujenzi wa banda la kuku sutamani hata kumuachia fundi sekunde awe pekeyakeUjenzi bwana unatakiwa uwe benet na mafundi michael...unaweza kuta jamaa kafunga geti la gereji linafungilia ndani ndipo utakapo choka
Mie nilichoka siku fundi welder atengeneze mlamgo wa garage...sii jioni nakuta mlamgo unafungukia kwa ndani....sasa namuuliza hilo gari likishapaki nafungaje? Anabaki kutumbua mimacho tu. Ata kazi iwe ndogo vipi hawa mafundi wee tulia nao hapo hapo.Usifanye nikalia mkuu mafundi maiko walinicheza Shere kweye ujenzi wa banda la kuku sutamani hata kumuachia fundi sekunde awe pekeyake
Imekukula ngapi mpaka hapoMchakato umefikia hapa, najikusanya kwa ajili ya pesa ya mbao na bati kwa ajili ya kupaua....
Mapambano yanaendelea...
Ni kajumba ka vyumba 3... Master 1.. Sitting, Dining, jiko, public toilet, na min store...View attachment 2131961View attachment 2131962
Mkuu naomba kujua ukubwa wa nyumba yako yaani urefu na upana ni mita ngapi ngapiMchakato umefikia hapa, najikusanya kwa ajili ya pesa ya mbao na bati kwa ajili ya kupaua....
Mapambano yanaendelea...
Ni kajumba ka vyumba 3... Master 1.. Sitting, Dining, jiko, public toilet, na min store...View attachment 2131961View attachment 2131962
Fundi bado sijaelewana naye bei ya kupaua..ufundi ni kiasi gani?
Nimepanga kuchukua Alaf.. Na ni bati tunaziita "Msouth" Hahahahaaa.. Hizi za migongo mikubwa. Hesabu yangu nilipigia hapo. But naweza kuchukua kampuni yoyote itakayonifaa.Hongera kwa hatua uliyofikia mkuu.nami Niko hatua hiyo pia.
Naomba kujua hiyo bati uliyopigia hesabu Ni company gan na geji ngapi.?
Blessings
Nimepanga kuchukua Alaf.. Na ni bati tunaziita "Msouth" Hahahahaaa.. Hizi za migongo mikubwa. Hesabu yangu nilipigia hapo. But naweza kuchukua kampuni yoyote itakayonifaa.
Asante..kila la kheriNimepanga kuchukua Alaf.. Na ni bati tunaziita "Msouth" Hahahahaaa.. Hizi za migongo mikubwa. Hesabu yangu nilipigia hapo. But naweza kuchukua kampuni yoyote itakayonifaa.
Ikifika hatua ya mbao tupo apa tunakuletea mbao zako mpka Site kwako kokote pale mzigo wako unakufikia.Nimepanga kuchukua Alaf.. Na ni bati tunaziita "Msouth" Hahahahaaa.. Hizi za migongo mikubwa. Hesabu yangu nilipigia hapo. But naweza kuchukua kampuni yoyote itakayonifaa.
Hahahaaaaa yaani wana vitimbi haooo!Mie nilichoka siku fundi welder atengeneze mlamgo wa garage...sii jioni nakuta mlamgo unafungukia kwa ndani....sasa namuuliza hilo gari likishapaki nafungaje? Anabaki kutumbua mimacho tu. Ata kazi iwe ndogo vipi hawa mafundi wee tulia nao hapo hapo.