Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

Ukifikia hatua ya bati nicheki nikupe Offa zetu naamini utaziweza maana bei ni za kiwandani na ubora safi kabisa
 
Fundi amekupa tamthmini ya
bati ngapi,
Mbao ngapi (4*2 na 2*2),
Misumari ya bati kg ngapi?
Misumari ya kenchi kg ngapi?

Maana'ke na mimi nipo kwenye hatua kama yako mkuu.
Nicheki kwa bati mkuu tuongee kwa bei za kiwandani kabisaa
0755732369
 
Nimepanga kuchukua Alaf.. Na ni bati tunaziita "Msouth" Hahahahaaa.. Hizi za migongo mikubwa. Hesabu yangu nilipigia hapo. But naweza kuchukua kampuni yoyote itakayonifaa.
Karibu kwa migongo mipana boss Offa zetu tunaweza kuongea zaidi ila Bei ni ya kiwandani 0755732369
Paalako Co LTD
 
Urembo Wa nyumba na Plasta ya Kiwango

Dirisha Tsh 35,000

Kona Tsh 35,000

Nguzo Tsh 40,000

Mlango Tsh 30,000

Dining (Arch) 80,000

Arch ya nje Tsh 20,000

Skating nzima Tsh 2,000,00

Nipigie kwa No 0789005562

naomba RETWEET iwafikie wengi

Https//Wa.me//255789005562
 
Weka bei ya kupiga plasta ndani, chumba cha futi 11 kwa 11.
 
Weka bei ya kupiga plasta ndani, chumba cha futi 11 kwa 11.
IRINGAAAAAA.....Mikonoooo juu!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ladies and Gentleman

Kijana wenu nipo IRINGA MJINI kwa kazi maalumu...

Nicheki kwa offer zetu zinaendelea...Mdau Wa IRINGA NA MAENEO YA JIRANI

Dirisha Tsh 40,000

Kona Tsh 30,000

Nguzo Tsh 40,000

Mlango Tsh 35,000

Dining (Arch) 100,000

Arch ya nje Tsh 25000

Skating nzima Tsh 200,000

Tuna punguzo kubwa kwenye skiming na rangi

Nipigie kwa namba 0789005562

Au njoo wasap kwa link hii [emoji116][emoji116][emoji116]

Https//Wa.me//255789005562

Punguzo kubwa kwenye skimming ....Mikoani tunafika
 
Upo kama mimi hakuna kifaa kinachohusu ujenzi wanyumba sina naweza kusema 95% ya vifaa ninavyo
 
Hivi mkidanganya mnapata faida gani??? Kwanini mnakuwa waongo hivyo? Hamuoni aibu kudanganya public?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…