kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Hii hali imenikuta pia na hapa wazo nililonalo ni kuleta vifusi tu vijaze maana hata nikichimba shimo la Choo bado kifusi hakitotosha, kwangu kuna Kuna Mteremko kidogo ambao tofali za upande wa chini zimefika Kozi kumi na mbili.
Vifusi havikwepeki
Dah!