October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Hello leo nitakuwa pale posta/ferry naangalia meli na pantoni zikipita ni pale pembeni ya kituo kidogo cha polisi kivukoni ukija unaweza kuniona...musio na mishe ya maana wenzangu hapa town tunaweza ungana nitakula Azam ukwaju, karanga then baadae nitatembea kuangalia mji kidogo na kupanda gari kurejea Home.