GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Ndiyo maana yake Mkuu. GENTAMYCINE ndiyo Mtunzi na Mbunifu wa maneno Popoma ( Pumbavu ), Mbunye ( Papa au K ), Kuukweka ( Kunya ) na hili jipya la Leo la Uzozola ( Mjinga ) ambalo nalo nina uhakika sasa hivi litaanza Kupendwa na Kutumika hapa JamiiForums.Ee wewe si ulituambia kuukweka ndo ku defecate?
Sawa mkuu, kwahiyo nikikuita mzee wa kuukweka, ama bwana mkweko ni fresh tu.Ndiyo maana yake Mkuu. GENTAMYCINE ndiyo Mtunzi na Mbunifu wa maneno Popoma ( Pumbavu ), Mbunye ( Papa au K ), Kuukweka ( Kunya ) na hili jipya la Leo la Uzozola ( Mjinga ) ambalo nalo nina uhakika sasa hivi litaanza Kupendwa na Kutumika hapa JamiiForums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
We kolo, tunza hii. Ila nakukumbusha tu, usije ukaja kuukana uzi wako..!! Maana siku hizi una kawaida ya kusema umedukuliwa, hasa mambo yakienda tofauti na matarajio yako. Msiba leo ni mmoja tu na marehemu yupo huko Cairo Misri..!! Mtachagua kama mnazika uarabuni au mnasafirisha ili mzike Kariakoo sokoni.Marehemu wa Kwanza atazikiwa Pretoria Afrika Kusini Saa 5 Kamili za Usiku na Marehemu mwingine atazikwa Cairo Misri Saa 7 Kamili za Usiku.
Poleni sana Wafiwa wote kwa hii Misiba Miwili ya Wapendwa wetu hawa Kulwa na Dotto.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Amen.
kamati ya mazishi imeamua Masandawana akazikiwe kwao, na Farao nae akazikiwe kule kule kwao Cairo 🐒Marehemu wa Kwanza atazikiwa Pretoria Afrika Kusini Saa 5 Kamili za Usiku na Marehemu mwingine atazikwa Cairo Misri Saa 7 Kamili za Usiku.
Poleni sana Wafiwa wote kwa hii Misiba Miwili ya Wapendwa wetu hawa Kulwa na Dotto.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe.
Amen.
Huna adabu Wewe. Acha Bangi basi sawa?Sawa mkuu, kwahiyo nikikuita mzee wa kuukweka, ama bwana mkweko ni fresh tu.
Kumwombea heri KOLO siwezi kabisa..!! Makolo wapigwe tu, na mwili uliwe na mamba ili tukose cha kuzika..!!kamati ya mazishi imeamua Masandawana akazikiwe kwao, na Farao nae akazikiwe kule kule kwao Cairo 🐒
tuombeane kheri kwenye hilo jambo zito sana kwetu sote 🐒
tushikamane ndrugu zango, haya mambo ni mazito, tuombeane kheri tu, maana hakuna namna nyingine sasa 🐒Kumwombea heri KOLO siwezi kabisa..!! Makolo wapigwe tu, na mwili uliwe na mamba ili tukose cha kuzika..!!
Sawa mzee wa kuukweka, nmeacha bhange.Huna adabu Wewe. Acha Bangi basi sawa?
UzozolaAcha Ujinga ( Uzozola ) Wewe sawa? Hakuna ambaye leo hafi tena wote Watakufa vibaya na hutoamini.
Hizo kolo zikishinda zinatushambulia sana..!! Acha zife tutushikamane ndrugu zango, haya mambo ni mazito, tuombeane kheri tu, maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
Kuna maiti moja inaweza kung'an'ania muoshaji. Mortuary attendant naye awe makini mafriji yanaweza kuvunjwa na likatokea varangati kuu
Thubutu. Nitakunya ( Nitaukweka ) tena Mubashara na Mchana kweupe kutoka huku Mapinga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani niliko sasa hadi Kilwa.Young Africans to semi final
Mama yako alipona lini huo Ugonjwa?
Jiandae kuukweka..!!Thubutu. Nitakunya ( Nitaukweka ) tena Mubashara na Mchana kweupe kutoka huku Mapinga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani niliko sasa hadi Kilwa.