Mkuu hizi tairi Bongo zinapatikana?Vanguard ilitengenezwa mahsusi kwa ajili ya soko la Ulaya na Marekani. Kule magari mengi sana hasa haya yanayotoka siku hizi hayana spare tire kwa sababu matairi yao mengi ni Run flat tires, yaani ni zile tre ambazo ziko either enhanced kiasi kwamba hata ikitokea umepata burst or puncture unaweza kuendelea na safari kwa umbali wa karibu na Km 80, wakiassume hapo lazima utakuwa umeshafika sehemu ya kuweza kulishughulikia tairi lako. Hiyo ndio sababu.
Picha za run flat tires jinsi zilivyowezeshwa.
View attachment 520125 View attachment 520126 View attachment 520127
Simply rav 4 ni mama vanguard ni mtoto...vanguard ni muendelezo wa rav 4 so imefanywa Kua mayai zaidiKati ya RAV 4 NEW model na VANGUARD ipi Iko;
A) imara zaidi
B) economic katika fuel consumption
Mhhh hhh mhh.. Hatari hii..!Simply rav 4 ni mama vanguard ni mtoto...vanguard ni muendelezo wa rav 4 so imefanywa Kua mayai zaidi
Simply rav 4 ni mama vanguard ni mtoto...vanguard ni muendelezo wa rav 4 so imefanywa Kua mayai zaidi
Umeniquote vibaya...nimesema vanguard ni toleo jipya kutoka kwa rav 4 new model..ni series ile ile yan zikitoka rav 4 Ndio zinakuja vanguard...kma huamini mlango wa nyuma wa rav4 new model unainingiliana Na wa vanguard kabisa mzeeMnatoaga wapi hizi habari mnazoongea kwa uhakika hivi?? Acha fix bwana. Vanguard sio toleo mayai la Rav 4, zina ubora sawa tu. Na tofauti kubwa ni chasis, vanguard ni ndefu (ina nafasi zaidi?. Ilipotoka vanguard hawakusitisha rav 4 ila kwa sasa vanguard sizioni tena ila Rav 4 ziko mpaka za miaka hii.
Hapan boss...yan ni kma vile tuchukue land cruiser lc series...imetoka imetoka lc -200 saiv tupo lc-300 ndio kma iyo case imetoka rav4 new model imekuja vanguard...lakin Wote chimbuko lako ni muendelezo wa rav4Mhhh hhh mhh.. Hatari hii..!
Vanguard ni Rav4 ndefu na sio mwendelezo wa Rav4..!
Rav4 bado zinatengenezwa..!
Aisee utakuwa unazichanganya hizo gari..!Umeniquote vibaya...nimesema vanguard ni toleo jipya kutoka kwa rav 4 new model..ni series ile ile yan zikitoka rav 4 Ndio zinakuja vanguard...kma huamini mlango wa nyuma wa rav4 new model unainingiliana Na wa vanguard kabisa mzee
Hapan boss...yan ni kma vile tuchukue land cruiser lc series...imetoka imetoka lc -200 saiv tupo lc-300 ndio kma iyo case imetoka rav4 new model imekuja vanguard...lakin Wote chimbuko lako ni muendelezo wa rav4
Usipoelewa sehemu Kua free kuuliza broSio kweli na jifunze kidogo usiendelee kubishana. Rav 4 ACA models ndo zilitoka pamoja na Vanguard. Ni model zinazofanana kasoro urefu tu wa chasis na taa za mbele. Rav 4 zinatoka mpaka leo na kama kuna mtu anajua kama vanguard ziliendelea kutoka baada ya zile model za 2011-13 atatujuza
Bro iyo vanguard ya mwaka gan?...vanguard nayoongelea mm mlango wake unafunguka sideways asee....mm nimeshuudia kuna jamaa alinunua vanguard akabadilisha mlango wa nyuma wa vanguard Na wa rav4 kwa7bu vanguard yake ilikua haina taili kwa nyuma....Na rav4 zinatoa iyo optionAisee utakuwa unazichanganya hizo gari..! View attachment 2258016
Mlango wa nyuma wa Vanguard unafunga kwenye hii [emoji1483]Rav4!!!?
Na mrithi wa generation ya rav4 baada ya vanguard Ndio inakuja kluger series
Usipoelewa sehemu Kua free kuuliza broView attachment 2258182
Rush haipo huko ni mwendelezo wa Toyota cami...vanguard ni dada wa rav4Vanguard ni upragraded version ya Rav4, yaani unaweza kusema ni rav4 yenye body kubwa. utofauti upo kidodo sana, rav4 yenye body ndogo kabisa na size ya injini ndogo inaitwa Toyota Rush, halafu rav 4 yenyewe ni size ya kati, ikifuatiwa na Vanduard size kubwa body na Injin, ukiiangalia kwa ndani vanguard na rav4 toleo la 2009 hazina utofauti wowote ule,kila kitu kiko sawa
Haya maelezo umetoa wap😁😁Kakaa ukijua vaguard ni mbadala wa rav 4 kwa mujibu wa toyota!! Wamestop kutengeneza rav 4 nw wame focus kwenye vaguard!!
Exactly man on pointRush haipo huko ni mwendelezo wa Toyota cami...vanguard ni dada wa rav4
Bro namashaka Na uelewa wako asee....kwan mtu akikuambia ameboresha kitu ww unamuelewaje??? Sibur nikupe shule....unavyosema vanguard inachasis ndefu iyo ni moja ya marekebisho waliyotoa kwenye model ya rav4 the aim apo ni kuifanya gari iwe Na space kubwa Na Ndio maan vanguard inampka 7seats ukilinganisha Na rav4 bro...vanguard ipo more luxurious ukicompare Na rav4 Na ilo Ndio lengo la maboresho asee....Unaelewa lakini walichoandika hapo au bado unabishana tu. Kimsingi hiyo ni Rav 4 ya toleo la tatu ila yenyewe ina chasis ndefu kuliko hiyo Rav 4. Walipotoa Rav 4 toleo la 3 ndo wakatoa na Vanguard. Sasa asiyeelewa hapo ni nani? Vanguard sio muendelezo wa Rav 4 na wala haijaendelea baada ya hapo ila Rav iliendelea. Hapo unafanishwa na kluger kwenye suala la urefu tu
Aisee ndio maana nasema kuna vitu unachanganya.. Hiyo kwenye picha sio Vanguard.. Ni Rav4 new model..Bro iyo vanguard ya mwaka gan?...vanguard nayoongelea mm mlango wake unafunguka sideways asee....mm nimeshuudia kuna jamaa alinunua vanguard akabadilisha mlango wa nyuma wa vanguard Na wa rav4 kwa7bu vanguard yake ilikua haina taili kwa nyuma....Na rav4 zinatoa iyo option
Miss tzAisee ndio maana nasema kuna vitu unachanganya.. Hiyo kwenye picha sio Vanguard.. Ni Rav4 new model..
Kwa maelezo yako umesema mlango wa nyuma wa Vanguard unafunga kwenye Rav4 new model.. Sasa ndio nimekuuliza Vanguard gani ina mlango wa nyuma kama huo wa Rav4 new model..!!!