Rav 4 old model:Msaada tutani

Rav 4 old model:Msaada tutani

Ok,mkuu gari ni 2wd,gari yenyewe ni mpya kwa maana nimeinunu muda si mrefu kutoka nje.Rpm kwenye silencer iko safi ni about 1,000.Nashukuru kwa ushauri wako nnitaufanyia kazi.
Ndugu unaijua GARI MPYA? nje yenyewe japan? Rav 4 old model unadai mpya? mkionaga ofa ya gari 90 USD basi mnakimbiliaa!! hapo ikate uuze screpa tu, hakuna namna.
 
Mara nyingi ni
Pressure kwenye booster ya break inapotea
Gearbox mounting pia ni tatizo
Habari booster ya break kwangu inatoa upepo kwa mbali unawez kuwa ndio tatzo la kugonga .. Vina uhusiano wa moja kwa moja
 
Ndugu unaijua GARI MPYA? nje yenyewe japan? Rav 4 old model unadai mpya? mkionaga ofa ya gari 90 USD basi mnakimbiliaa!! hapo ikate uuze screpa tu, hakuna namna.
Mkuu niwe naijua gari ,mpya au siijuie hilo siyo lengo la hii thread niliyoanzisha wewe kama unajibu la nilichoomba toa.Hayo mengine yanatoka wapi,si kila muda uchangie hujui kaa kimya.Gari liwe jipya au bovu shida yangu siyo upya au ubovu.Unajua solution ya tatizo toa,hujua nyamaza .
Sitakuwa na muda wa kukujibu tena naamini umenielewa,kuwa makini usiwe unasema vitu usivyo na uhakika navyo mimi sikujui na wewe hunijui.Unadhani umejificha lakini kwa taarifa yako unaonekana uko peupe so learn to behave online.Gari ni used from Japan,haya nisaidie kama unaufahamu na usilete solution za kugoogle online hizo ninazo nahitaji watu wenye experience na hii issue.
Wabongo tuna vioja,jifunze kunyamaza ndugu yangu,na umpokee Yesu akubadilishe.Lugha zako siyo nzuri,ladba yako uliyoagiza ikiwa na zero kilometer tuambie mwenzetu mwenye uwezo.Wenzio wameelewa wamenyamaza kimya,wanaojua wameniambia cha kufanya.Mungu akusaidie badilika for the better.I am not the kind of a person you think I am,I am not of this world of yours however I am here for a reason.I have a mission to accomplish,thus I have no time for people who behave as you have done.I am running out of time,I value every sec of my time on this planet.
 
Mkuu niwe naijua gari ,mpya au siijuie hilo siyo lengo la hii thread niliyoanzisha wewe kama unajibu la nilichoomba toa.Hayo mengine yanatoka wapi,si kila muda uchangie hujui kaa kimya.Gari liwe jipya au bovu shida yangu siyo upya au ubovu.Unajua solution ya tatizo toa,hujua nyamaza .
Sitakuwa na muda wa kukujibu tena naamini umenielewa,kuwa makini usiwe unasema vitu usivyo na uhakika navyo mimi sikujui na wewe hunijui.Unadhani umejificha lakini kwa taarifa yako unaonekana uko peupe so learn to behave online.Gari ni used from Japan,haya nisaidie kama unaufahamu na usilete solution za kugoogle online hizo ninazo nahitaji watu wenye experience na hii issue.
Wabongo tuna vioja,jifunze kunyamaza ndugu yangu,na umpokee Yesu akubadilishe.Lugha zako siyo nzuri,ladba yako uliyoagiza ikiwa na sero kilometer tuambie mwenzetu mwenye uwezo.Wenzio wameelewa wamenyamaza kimya,wanaojua wameniambia cha kufanya.Mungu akusaidie badilika for the better.I am not the kind of a person you think I am,I am not of this world of yours however I am here for a reason.I have a mission to accomplish,thus I have no time for people who behave as you have done.I am running out of time,I value every sec of my time on this planet.[/QUOTE

Umemjibu vizuri sanaa jamaa lakini umekosea sehemu moja tu " mpokee Yesu" kwani anakuja kutoka wapi? au alikuwa safari?......mwacheni yesu apumzike jamani
 
Solution nimekuambia KATA uuze kama chuma chakavu hiyo gari "MPYA". Hujaelewa bado?
 
Mafundi wamenilia sana pesa zangu kutokana na ugonjwa huo wa kugonga ukiweka gear. Mwisho wa siku nimeamua kuiacha tu hivyo hivyo.
 
kwa case hiyo mimi ilishawahi kunikuta kwenye Cresta GX90 ikiwa na Engine ya 4S,najua Rav 4 zinakuwanga na 3S. Tatizo hili lilikuwa ukiweka gear ya reverse kuna mlio ulikuwa unasikika kama kuna kitu kinagonga hadi nilipoamua kulala chini huku ndani kuna dereva alipoweka gear nikagundua ya kuwa kuna mounting mbili zimeisha na kukatika hivyo ikiwekwa gear mlio huo ndio ulikuwa unatokea,nilipobadirisha hzo mounting tatizo likawa limeisha.
 
Back
Top Bottom