zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
wakuu kama title inavyosema, ipi hapo ni gari nzur ya kuchukua, maana now bei hazitofautiani sn, hata cc rav 4 ni 1990, wakati Harrier ni 2150.
wenye ujuzi na uzoefu wa hiz gari kwa barabara na hali ya hewa ya TZ , anipe ushauri juu ya hili.
asanten
wenye ujuzi na uzoefu wa hiz gari kwa barabara na hali ya hewa ya TZ , anipe ushauri juu ya hili.
asanten