Hujanikosea ila Kuna tofauti Ipi kati ya nyeusi na rangi zingine.... Si ungeandika tu nina harrier basi....Kwani apo nimekukoseaa kitu?
Hahahhahahaha hahahaha nimecheka sanaLabda ikiwa nyeusi inasumbua kwenye shimo kuliko ikiwa off-white au white
Kwa uandishi huu, wewe hata baiskeli ya miti huna..... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Napeda magali brother. Sijui kama ni vubaya.ila nimeelesea tu vile naona inafaa.gari nyigine napalk homu nyigine nakujia nayo kazini.sorrry kama nimekuuzi.
Abadilishe rangi tu tatizo litaisha
Hujanikosea ila Kuna tofauti Ipi kati ya nyeusi na rangi zingine.... Si ungeandika tu nina harrier basi....
Anyway hongera kwa kumiliki ndinga kalikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe kwa uandishi huu wa mtoa mada unaamini anachokisema??? Au hawa ndio wale wakinga???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abadilishe rangi tu tatizo litaisha
Wakinga hawaandiki hivo bwana!Hivi wewe kwa uandishi huu wa mtoa mada unaamini anachokisema??? Au hawa ndio wale wakinga???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo asiejua kuandika ni hawezi kumiliki gari?Kwa uandishi huu, wewe hata baiskeli ya miti huna..... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
OkokKwa hiyo asiejua kuandika ni hawezi kumiliki gari?
Napia kuna wasomi ila si waandishi wazuri au hawazingatii kanuni
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We utakuwa mkinga, sijamaanisha hivyo.... Maana yangu ni kwamba "huwa wanapata pesa kishirikina so yeyote anaweza kuwa nazo"Wakinga hawaandiki hivo bwana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We utakuwa mkinga, sijamaanisha hivyo.... Maana yangu ni kwamba "huwa wanapata pesa kishirikina so yeyote anaweza kuwa nazo"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina Rav 4 ile nafanana na Vanguard shida yake moja, haina comfortable kwenye mashimo.
Yaani ukiendesa barabarani hata shimo dogo tu utasikia inadunda. Je ukifananania na Vanguard kuna tofauti gani?
Lakini pia nina Harrier nyeusi nataka kujua tofauti yake na Kluger kwa kuwa comfortable na kwenye mashimo maana hii Harrier sioni sana kama comfortable kwenye mashimo.
Nina X5 hii kwenye masimo ipo vizuri husikii ikiumia inanesa nesa sana. Sasa hii natumia mara moja moja sababu ya mafundi kuniambia shida sana spares zake.
Kati ya Vanguard na Kluger ukilinganisha na Rav 5 na Harrier zipi ni bora kwenye barabara yenye mashimo?
Ahahahaaaaa
Please ongeza maarifa yako ya Kiswahili naona yapo ICU.Ungesoma ka akiri ugeelewa kinachoulizia.bona nimeadika wegine wameelewa kwa wepesi tu.
Bora ni ile ambayo unaendesha huku ukikwepa mashimo, ukiipeleka tu mwenye mashimo na mashimo yanakurudishia majibu๐๐๐๐๐Nina Rav 4 ile nafanana na Vanguard shida yake moja, haina comfortable kwenye mashimo.
Yaani ukiendesa barabarani hata shimo dogo tu utasikia inadunda. Je ukifananania na Vanguard kuna tofauti gani?
Lakini pia nina Harrier nyeusi nataka kujua tofauti yake na Kluger kwa kuwa comfortable na kwenye mashimo maana hii Harrier sioni sana kama comfortable kwenye mashimo.
Nina X5 hii kwenye masimo ipo vizuri husikii ikiumia inanesa nesa sana. Sasa hii natumia mara moja moja sababu ya mafundi kuniambia shida sana spares zake.
Kati ya Vanguard na Kluger ukilinganisha na Rav 5 na Harrier zipi ni bora kwenye barabara yenye mashimo?
Fotoa picha uweke hapa,ficha number zake,vinginevyo utadhaulika sana hapa jf kwa kujimwambafyNapeda magali brother. Sijui kama ni vubaya.ila nimeelesea tu vile naona inafaa.gari nyigine napalk homu nyigine nakujia nayo kazini.sorrry kama nimekuuzi.