Rav 4 vs Vanguard na Kruger vs Harrier ndo kazi ipo hapa

Rav 4 vs Vanguard na Kruger vs Harrier ndo kazi ipo hapa

Napeda magali brother. Sijui kama ni vubaya.ila nimeelesea tu vile naona inafaa.gari nyigine napalk homu nyigine nakujia nayo kazini.sorrry kama nimekuuzi.
Kwa uandishi huu, wewe hata baiskeli ya miti huna..... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaona tatizo yoyote.kama harrier ni nyeusi kwa ninin unapata sida?mimi nimeadika ilivo weewe unatapa sida.why?

Hujanikosea ila Kuna tofauti Ipi kati ya nyeusi na rangi zingine.... Si ungeandika tu nina harrier basi....

Anyway hongera kwa kumiliki ndinga kalikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina Rav 4 ile nafanana na Vanguard shida yake moja, haina comfortable kwenye mashimo.

Yaani ukiendesa barabarani hata shimo dogo tu utasikia inadunda. Je ukifananania na Vanguard kuna tofauti gani?

Lakini pia nina Harrier nyeusi nataka kujua tofauti yake na Kluger kwa kuwa comfortable na kwenye mashimo maana hii Harrier sioni sana kama comfortable kwenye mashimo.

Nina X5 hii kwenye masimo ipo vizuri husikii ikiumia inanesa nesa sana. Sasa hii natumia mara moja moja sababu ya mafundi kuniambia shida sana spares zake.

Kati ya Vanguard na Kluger ukilinganisha na Rav 5 na Harrier zipi ni bora kwenye barabara yenye mashimo?

Hii dunia bwana

Gari zote anazo,halafu hua anaziendesha,then ana turn around anatuuliza zina feel vipi ukizendesha tofauti zake?

What an irony?
 
Uza hivyo vyombo vya usafiri vya kijapani chukua gari. Jeep Cherokee au Discovery am sure utatamani always utembee barabara zenye mashimo maana ndo raha inaongezeka
 
Ungesoma ka akiri ugeelewa kinachoulizia.bona nimeadika wegine wameelewa kwa wepesi tu.

Hii dunia bwana

Gari zote anazo,halafu hua anaziendesha,then ana turn around anatuuliza zina feel vipi ukizendesha tofauti zake?

What an irony?
 
Ungesoma ka akiri ugeelewa kinachoulizia.bona nimeadika wegine wameelewa kwa wepesi tu.
Please ongeza maarifa yako ya Kiswahili naona yapo ICU.

Pili,walivyoelewa wao ni tofauti na nilivyoelewa mimi,sio lazima tuelewe kwa lenses zao wao.

Another thing,mimi nina akili yangu pia,ulichoandika ni oxymoronic,maana majibu unayo maana hayo magari unayo na unaendesha kila siku.

Halafu,kama umesahau,kuna uzi wa kiduwanzi sana uliuleta asubuhi umefutwa maana ni wa IQ ya chooni.

Again,uzi huu japo ni wa magari na unaelekea kua na sense ila ukiyumbisha pia utafutiliwa mbali.

Goodluck.
 
Nina Rav 4 ile nafanana na Vanguard shida yake moja, haina comfortable kwenye mashimo.

Yaani ukiendesa barabarani hata shimo dogo tu utasikia inadunda. Je ukifananania na Vanguard kuna tofauti gani?

Lakini pia nina Harrier nyeusi nataka kujua tofauti yake na Kluger kwa kuwa comfortable na kwenye mashimo maana hii Harrier sioni sana kama comfortable kwenye mashimo.

Nina X5 hii kwenye masimo ipo vizuri husikii ikiumia inanesa nesa sana. Sasa hii natumia mara moja moja sababu ya mafundi kuniambia shida sana spares zake.

Kati ya Vanguard na Kluger ukilinganisha na Rav 5 na Harrier zipi ni bora kwenye barabara yenye mashimo?
Bora ni ile ambayo unaendesha huku ukikwepa mashimo, ukiipeleka tu mwenye mashimo na mashimo yanakurudishia majibu😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom