Rav4 Massawe, vipi vya kuzingatia kuinunua mkononi?

Rav4 Massawe, vipi vya kuzingatia kuinunua mkononi?

Kununua gari Toyota Rav4 1995-2000 iliyotumika Bongo

  • Ni gari imara hata zikiwa used huwa hazina tatizo

    Votes: 1 20.0%
  • Zinasumbua, gari zote zilizopita mikononi mbongo hua hazifai

    Votes: 1 20.0%
  • Kupoteza pesa,bora ujichange uagize kutoka Japan

    Votes: 3 60.0%
  • ukifanya Service kubwa na ukubadili badhi ya vifaa itakusogez

    Votes: 2 40.0%

  • Total voters
    5

A.Ngindo

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
276
Reaction score
101
Habari zenu wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada naomba maelezo kuhusu kununua gari hiyo pichani yaani rav4 1995-2000 mkononi (used)uliyotumika hapa Tanzania ni vitu vipi vya kuzingatia, Budget ni mil 7
 

Attachments

  • images (60).jpeg
    images (60).jpeg
    51 KB · Views: 40
  • images (63).jpeg
    images (63).jpeg
    47.2 KB · Views: 36
Habari zenu wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada,Katika pita pita zangu kwenye nyuzi kadhaa humu JamiiForums nimeona wadau wengi waki toa ushauri kwa watu kadha wa kadha kuhusiana na matoleo tofauti tofauti ya gari hii pendwaa kwa wale watu wa lile kabila litokalo kaskazini mwa nchi yetu ya Tanzania,
Mwaka 2019 nilifanikiwa kufungua savings account lengo kuu ilikua ni kudunduliza vi chenji chenji vyangu ili ifikapo 2022 niwe nimekusanya pesa yakutosha kuweza kununua hii gari kwa kuagiza ikiwa "used from Japan"Nikaanzaw kusoma soma kodogo maelezo kuhusu hii gari mitandaoni vitu vichache nilivyo jifunza ni kama Mwaka hii gari ilipoanza kutengenezwa yani kuanzia mwaka 1995-2000 zikiwa offerd katika manual na automatic transmission's zenye drive terrain 2 tofauti yani zenye 4wd na zenye Front wheel drive zote kwa pamoja zikiwa na engine ya cc2000 na engine codes za aina mbili tofauti yani moja yenye engine code ya 3SGE ambayo ni perfomance engine inayokua na turbo pia kama sikosei hizi mara nyingi hua ni zile rav 4 zinazo kuja na body kits na hua ziko labled kama Rav4 Aero Sports masokoni Japana na nyingine ni ile yenye engine code inayoishiwa na fe yani 3SFE ambayo ni straigh work horse naturaly aspirated engine haina turbo,zote mbili zikiwa katika option ya short wheel base(3doors)pamoja na long wheel base(5doors) straight from the factory.Lengo kuu lililonifanyala mimi kuhitaji hii gari ni kutokana na mazingira ya ninapoishi kuzungukwa na milima,mabonde makali pamoja na tope zito mvua inaponyesha.....ya mazingira yangu ya kazi ni kusafiri mara kwa mara kwenda mikoani hasa maeneo ya porini,Sasa nimejibana niwezavyo ila bado sijaweza kufikisha kiasi cha pesa kinacho hitajika kuweza kununua hii gari kutoka Japan,Juzi nikawa napita pita pita kwenye tovuti tofauti tofauti za makampuni makubwa yanayo jihusisha na uzaji wa magari kutoka Japan nilifanikiwa kuona gari kadhaa ndogo ndogo hizi za chini almaarufu kama "baby walker"Na kupata gari chache zinlizoko ndani ya budget ya pesa kidogo niliyo nayo,ambazo ni Toyota passo,Toyota Duet and the likes,pick of the bunch ikiwa ni Toyota vitz old model ile ya kuanzia 1999-2004 "nadhani",Ambayo kiuhalisia haito kidhi mahitaji yanugu.kulingana na aina ya Terraine itapokua ikitumika,,Sasa juzi kuna wazo lilinijia kua nijaribu kutafuta hii gari kwenye used market ya hapa Bongo yani hizi gari zilizotumika na waswahili wenzetu hapa hapa nchini,Maana kuna kipindi nilisoma comment za wadau kadhaa humu wakisifia ubora na uimara wa hizi gari kwamba hata kama utainunua kwenye hili soko letu la used cars lililojaa magari yaliyo chakachuliwa,na kua poorly maintained and badly abused na wamiliki wake waliopita,,,,,Nakaribisha mawazo yenu ya namna naweza pata gari tajwa hapo juu ambayo hata kama itakua na faults basi walau ziwe zenye kurekebishika kwa bei za kizalendo,Itayo nipa walau miaka mitatu mingine ikiwa katika road worthy condition,,
Picha hamna?
 
Kwanini kichwa cha uzi usingeandika jina halisi la hiyo gari mkuu.

Umeliita hivo kulingana na mnavoliita huko kwenu kilimanjaro, kuna watu hata hawajui kua linaitwa masawe.
kweli chief inabidi niedit hicho kipengele🙏
 
Shida ya watu wa Bush. Yaani wanaita magari vile wanavyoita huko kwao wanakuja kutuuliza na sisi wa mjini wakidhani ndo toka Japan gari zinaitwa hivyo. Hapo utakuta kijijini kwao aliyenunua anaitwa Massawe basi ndo wanaamini ndo jina la gari.
 
Back
Top Bottom