binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Nissan Edward Ngoyai Lowassa. 😀Nissan Edward
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nissan Edward Ngoyai Lowassa. 😀Nissan Edward
Inamaana hata kununua set mpya ya miguu Og hua haitibu hili chief ?😥Shida kubwa ya hizi gari ni kuweka "matege" haina dawa.
Ushauri mtafute fundi akusaidie kukagua gari utalia gari sio nyanya.
Sasa kwa gari iliyokwisha tumika hapa bongo kama ninayotaka kununua si itakua inakula zaidi?Mkuu massawe ni gari ngumu hasa kama ulipo hakuna lami lakini kinakula wese sana,
Massawe mwenye 3s nadhani atakupa 9km/l kama sijakosea, kwaiyo itabidi ujipange kwenye wese mkuu.