Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya wachina hayo
mie nakula kumbi kumbi wabichi ni watamu hao
ni balaa kiongozi ila kuna kumbi kumbi wengine ukiwala unakua kiziwi hasa wale wadogo saana ili unalijuatuko pamoja. Nu protin kuliko maelezo. Wakiwa wengi unawakaanga. Ni watamu wadudu hawa.
ni balaa kiongozi ila kuna kumbi kumbi wengine ukiwala unakua kiziwi hasa wale wadogo saana ili unalijua
Hivi ipo hiyo ?
Hivi ipo hiyo ?
I love sushi, naweza sema ni my favorite......,Wachina utawaweza bibi ndio zao hizo ila vyakula vyao vingi healthy hawali sana mafuta
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
I love sushi, naweza sema ni my favorite......,
Ingawa wanatumia mchele uliopikwa (wali) but the remainings are raw......., tuna, salmon, prawns, fish eggs......... kila kitu raw........ kunibandua hapo huwa ni kivumbi
sina uhakika na spices wanazoweka, mi najua kula tu. na off course wakati nakula huwa natumia soy sauce na mazagazaga mengineRaw tuna! Wanaweka spices gani?
I love sushi, naweza sema ni my favorite......,
Ingawa wanatumia mchele uliopikwa (wali) but the remainings are raw......., tuna, salmon, prawns, fish eggs......... kila kitu raw........ kunibandua hapo huwa ni kivumbi