Ray ageuka mbogo baada ya kuhusishwa na kifo cha kanumba.......amsweka ndani mmiliki wa u-turn


mwenzangu..ya ngoswe mwachie ngoswe
 
Ukishangaa ya wema dimond shangaa na ya MANGE KIMAVI WA U TURN.yule member wa jf UHURU yuko wapi aje aututolee shombo la Kimavi humu ndani maana ndiye kiboko ya Mange Kimavi
 
wadau simfahamu huyo mwenye u turn lakin kwa kupitia comment zake ni wazi anatafuta publicity o cheap popularity period
 
She spoke her mind, and ts her constitutional right, bt timing ts nt perfect, speculation and stupid theories t may lead to violenc jaman, iv wa2 wakmvamia Ray na kumjeruh, 4 jst hypothesis frm Mange mtafurah???
Ray he's nt zat clever, anampa promo huyu dada, angeenda nae kimyakmya, blv me, nlkua simjui, ndo nimemjua nw...othr pipo their ready to earn cheap popularity 4 any cost, dats Her.
hiyo miaka mi 3 utafungwa wewe, kumbuka mjinga akiwazach ndicho kimtokeacho
 
she is determined, bt timing was'nt perfect, afu dat news got hasara nyng kulko faida'
 
Unajua ukisoma bible damu inanena

Wataongea mengi Malibu Upo siku ukweli utatimilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…