Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,294
Huyo dada ameiandika hiyo habari kishabiki na kubase upande mmoja, hata aliyemgumu kuelewa anaelewa kuwa anamaanisha Ray amehusika moja kwa moja. Swala la kusimamia eti kapiga picha kabla hajafa au angeita sijui 999 hiyo ni gut ya mtu na sasa nikawaida sana kutokulia mpendwa wako akifa hata kama hukutegemea yaani haimaanishi umefurahia kifo. Huyo dada anastahili kufunzwa na dunia maana anachotaka kufanya ni mauaji.
Unajua tetesi zinazotolewa na magazeti ya udaku zimekaa kidaku lakini pitia vizuri alivyoandika huyu dada amemaanisha kapata data kutoka kwenye chanzo tena polisi, kwa mtanzania wa leo ukimwambia hivyo atachukuliaje?
mwenzangu..ya ngoswe mwachie ngoswe