RAY ALETA MAPINDUZI KWENYE MKOROGO

Unamuiga msaga sumu, bado hujafikia level zake
 
 
Muigizaji mkongwe Ray ameleta mapinduz kwenye mkorogo --maji

baada jana MH DR.JOHN POMBE MAGUFURI kukubali SUDAN KUSINI KUJIUNGA EAC --wanauana
mh nape nnauye amekubali kuboresha maisha ya wasanii akipeleka kilo kumi za mchele kituo cha kulelea watoto yatima huku akikataa katu wasira kumdhihaki mh makamba jana --- huwa sisomi mipasho

belle 9 amekana kumtukana diamond kwenye ngoma ya harmonize ft diamond BADO yapata views wengi sana pasipokutarajiwa -----mipasho
dr slaa afunga ndoa na mkewe nchini canada----Green card au utambulisho wa kutokuwa na hawala kama wapo upande wa wafaransa.

hali ya hewa kwa sasa ni ya baridi sana ukilinganisha na marekani jana wamefanya uchaguzi wa vyama katika majimbo mbalimbali----- Kipigo cha JW kinatunyima usingizi huku kitaani hasa Zenj.
Rais magufuri alitembelea kipindi cha kampeni watu tulipiga pesa ya Nyerere inaua wengi jamani......Nimetoka kapaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…