Asante sana dada yetu kipenzi. Wajinga sie. Tusamehe haturudii tena.
View attachment 1089562
Asili >> https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1580679/
Kile kilikuwa ni kipindi kibaya sana kwenye maisha yake. Nafurahi Mungu alimvusha aisee!Ray c bana nkikumbuka kipindi tunaishi gerezani yaaan mateja walikuwa wanajisevia papuchi yake watakavo live kabisa ila Sembe bana acha ikotiwa maji iitwe ugali
Hahaha...mkuu umetishaWadada akili zenu mnazijua wenyewe.
Na hivi mnavyopenda pesa. Kiasi kwamba wanyama wangekuwa nazo mngehamia porini saivi. Utaskia. Jomoni chui unanimaliza na hayo madoa yakoo!
Maneno mazito Sana haya ndugu yangu hukuwa na haya ya kuyaandika hapa, a napita anasoma unadhani anajisikiaje msitiri mwenzio nawe usitirike na kizazi chakoRay c bana nkikumbuka kipindi tunaishi gerezani yaaan mateja walikuwa wanajisevia papuchi yake watakavo live kabisa ila Sembe bana acha ikotiwa maji iitwe ugali
Kumbe ulikua nae gereza moja[emoji849]Ray c bana nkikumbuka kipindi tunaishi gerezani yaaan mateja walikuwa wanajisevia papuchi yake watakavo live kabisa ila Sembe bana acha ikotiwa maji iitwe ugali
Mfunze huyo mlimwenguManeno mazito Sana haya ndugu yangu hukuwa na haya ya kuyaandika hapa, a napita anasoma unadhani anajisikiaje msitiri mwenzio nawe usitirike na kizazi chako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wadada akili zenu mnazijua wenyewe.
Na hivi mnavyopenda pesa. Kiasi kwamba wanyama wangekuwa nazo mngehamia porini saivi. Utaskia. Jomoni chui unanimaliza na hayo madoa yakoo!
Dada yako juzi alipost IG kuwa anataka kujiua ...jana akapost post hiyoKwani kuna story gani mujini?
Kumbe wewe hujui chochote. Wazee huchagua vitu vizuri. Fedha zao zinazungumza.Hivi bado hajapata mchumba mzee wa 65 yrs wa kumfariji?
Inamaana Kapuya hakuiona hii fursa?
Gerezani kule kariakoo mara ya kwanza kabisa alipoanza hili tatizo kule ndo kulikuwa maskani yakeKumbe ulikua nae gereza moja[emoji849]
1. Alitangaza kutafuta mchumba yeyote akakosa.Kumbe wewe hujui chochote. Wazee huchagua vitu vizuri. Fedha zao zinazungumza.
Ndiyo maana alikosa basi. Hakuna mzee anayeweza kumchukua. Huwa wanatafuta damu moto.1. Alitangaza kutafuta mchumba yeyote akakosa.
2. Akasema anatafuta mzee hata wa miaka 65. Itampendeza!
Duuh alitangazia wapi1. Alitangaza kutafuta mchumba yeyote akakosa.
2. Akasema anatafuta mzee hata wa miaka 65. Itampendeza!
Duuh alitangazia wapi
Aisee too sad..kwa ajili ya unga eeEATV
Yaani hadi huruma kiukweli
Tatizo cv yake siyo nzuri mjini. Ndiyo maana hapati mtu wa kumweka ndani.
Aisee too sad..kwa ajili ya unga ee
Amrudie tu Mungu hufanya njia pasipo na njia
[emoji134][emoji134]Ray c nae video za x?Yes. Sababu ya unga na kashfa za kuliwa vijiweni kila muda.
Pia zile picha na videos za x alizokuwa anafanya na zipo sana.