Ray C: Acheni hizo, hafi mtu hapa!

Ray C: Acheni hizo, hafi mtu hapa!

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,072
Asante sana dada yetu kipenzi. Wajinga sie. Tusamehe haturudii tena.

Screenshot_20190506-140850.jpeg



Asili >> https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1580679/
 
Hivi bado hajapata mchumba mzee wa 65 yrs wa kumfariji?

Inamaana Kapuya hakuiona hii fursa?
 
Dahh kweli unga ni kitu kibaya sana
 
Wadada akili zenu mnazijua wenyewe.
Na hivi mnavyopenda pesa. Kiasi kwamba wanyama wangekuwa nazo mngehamia porini saivi. Utaskia. Jomoni chui unanimaliza na hayo madoa yakoo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]chizi wee
 
Ray c bana nkikumbuka kipindi tunaishi gerezani yaaan mateja walikuwa wanajisevia papuchi yake watakavo live kabisa ila Sembe bana acha ikotiwa maji iitwe ugali
 
Back
Top Bottom