Mbona hajaweka kigezo cha kupima AFYA?
Hiyo inajulikana long time kaungua kwa hiyo kupima ni kupoteza muda wa madokta
11. Awe na utaalam wa kung'oa Power Window
Kwanza lazima ajue kuwa yeye wala sio Ray c tena yeye ni Rehema tu wala hana la zaidi.
Pili hayo masharti aliyopanga ni kwa vigezo vipi kwa mfano? Akumbuke hata dozi ya metho hajamaliza....
Kama vile haitoshi kwa mkorogo huo hivi kuna mtu atashawishika kweli???
Wanaume kazi kwenu
Kweli kuishi tanzania kuona mengi!,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Hajui anachokitafuta wala anachokitaka.
Naona sharti muhimu hajaliweka, nalo ni KWENDA KUPIMA NGOMA KWA WOTE WAWILI
Majuto mjukuu. Mtajirudi wengi, Yetu macho.
Hamna kitu hapo, Scraper limepakwa rangi. Tehe
Yaani mie nilishablokiwa na mastaa kibao. Ukiandika negative tuu jua block inakuhusu
Haaaahaaaa
Vigezo vyote 10 ni vya kijinga na kipuuzi. Inaonesha jinsi gani alivyo mweupe kichwani.
Hayupo tayari na hajajiandaa kuwa mke wa mtu.
Uteja bado unamsumbua.
mimi niko tayari anitafute kwa email hii
kimbokas86@gmail.com
Mwanaume mnzima uimbe nyimbo za kihindi? Hv mtu unajiskiaje kuweka uchafu kama huu mtandaoni??
Kuna mawili hapa; akili bado finyu,ana msongo wa mawazo,au anawazingua watu tu.
Huwezi hata ukijamba! Kuishi na teja?! Huoni hivyo vigezo ni vya chizi wewe?