Ray C aiomba Serikali ipitishe sheria kama Oman, kusiwe na mahusiano kati ya Mwanaume na mwanamke bila ndoa

Ray C aiomba Serikali ipitishe sheria kama Oman, kusiwe na mahusiano kati ya Mwanaume na mwanamke bila ndoa

Nungayembe limeshtuka,sasa anataka manungayembe ye nzake yaolewe kwa lzm?
 
Kachezewa sana mpaka amekongoroka ndo anakumbuka hayo.

Ushauri wangu kwa mleta mada hamia oman kwakuwa huwezi kuhamishia sheria za kiislam kwenye nchi isiyo ya kiislam.

Mungu amempa kila mtu akili ya kujua mema na mabaya, amekataza kutenda mabaya lkn ametoa hiari ya mtu husika kuchagua baya au zuri. Ili siku ya mwisho kila mtu ahukumiwe kwa matendo yake.

Leo unalilia sheria za oman baada ya kuchezea ujana wako, kumbukumbu yako inaoneesha umeshahangaika nakila aina ya mwanaume, nikushauri tu ni vyema ukatubu badala ya kulilia sheria ibadirishwe ili uolewe
 
Msitulazimishie matatizo, kama vipi nendeni huko huko Oman.
 
View attachment 666504
Mi nadhani mimba za utotoni zitapungua naungana na wewe dada ray c
Amuombe Mungu atampa wa kwake,ila ni funzo wakati wa ukutafutwa ujanani na sie wafuga Kuku wanatudharau sana wanataka wa Magari makali na wenye majina,mda wa soko ukishapita ,utukumbuka sana sie wafuga Kuku wakati huo tushakuwa na majina na biashara kubwa kubwa. Angoje subira tu atapewa.
 
Kama Ray C angeyaongea haya wakati wa usichana wake ningemuelewa kabisa.

Ameshatangaza sana kutaka kuolewa bila mafanikio. Karibia kila media alishajitangaza lakini wanaume, kama hawamuoni. Kahamia kwa wazee, nao wamefumba macho!

Sasa, leo kakumbuka shuka kumekucha.
Utavuna ulichopanda.
Wakati unatanua hotel zote na guest houses zote hukulijua hilo dada Ray C?

Hayo ndiyo matunda ya kazi ya U-super star wako.
 
Hahaha Huu uzi na Comments zake ni Burudani tosha yani Ray C ametumika wee jua limezama anataka Kuwaharibia wenzie
 
Back
Top Bottom