warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
chid benz madawa yamemuaribu sana, kauza nyumba kwa mpangaji mwingine nhc ilala flats kaenda kupanga mbezi beach hela iliyobaki sijui ndo kanunua hayo makitu aliyokamatwa nayo maskini,
Hakai mbezi beach, anakaa tegeta kule karibu alipokuwa anakaa lulu michael, Nyumba anayokaa ni nzur sana aiseeh halafu pamejificha sana sio uswazi kule , sema si unajua warumi kwa umbea mpaka nilienda kupaona nilivyopewa umbea
Last edited by a moderator: