Brodre JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,585 Reaction score 1,771 Nov 1, 2013 #21 Ray c na Nora wamekanusha hii kitu so shigongo kafanikiwa kuuza
Vitaimana JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 3,535 Reaction score 1,562 Nov 2, 2013 #22 Jamani Nora anaimba au anawika?
FYATU JF-Expert Member Joined Dec 7, 2011 Posts 5,567 Reaction score 4,683 Nov 4, 2013 #23 Vitaimana said: Jamani Nora anaimba au anawika? Click to expand... Hapa wa kumuadhibu ni Nora.....Ray c kwa sasa anapitia wakati mgumu na yupo kwenye matibabu. Inawezekana kila anayemuona anamfananisha na Zamaradi (illusion).
Vitaimana said: Jamani Nora anaimba au anawika? Click to expand... Hapa wa kumuadhibu ni Nora.....Ray c kwa sasa anapitia wakati mgumu na yupo kwenye matibabu. Inawezekana kila anayemuona anamfananisha na Zamaradi (illusion).