Kuna wasanii WA ubongo WA freva wengi wanajifanya wanaupa kisogo mziki huo na kuugeukia mziki WA injiri na kujifanya wameokoka pumbaav kabisa washenzi hawa wanaingia huko kwa ajiri ya maslahi baada ya kuona wamebuma kwenye mziki WA bongo freva lakini hawaingii kwenye injiri kama walokole Bali ni tamaa na kumtania mungu Bali nasfi zao zimejaa maovu na ushenzi mwingi ndani yake maslahi wameyaweka mbele kuliko mungu aliyewaumba hivyo nakataa kusikia ray c kamgeukia mungu anaimba injiri huu ni unafki WA asubuhi mapemaaaaaa. SHAME ON YOU REHEMA