warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Nasikia aliokoka siku nyingii...Kasikia mwenzie anaolewa ndo akili imemkaa sawa.
Ila Zamaradi jembe, hadi kafanikiwa kuibinafsisha ile mali ya uma? Kweli usidharau wembamba wa reli....!
Kama sijakuelewa??, ebu nipe umbea binamu yangu mie, roho ipate suuzika, wwh kaibinafsisha nini tena??