King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Pole sana Ray C.....Get well Soon Ruge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Mungu hawezi kufuta magonjwa jamani
umempa stahiki yakeAsante kwa taarifa
Ruge naye, hadi mateja?[emoji56]
Vijana wengi hapa JF wanapotosha sana kama Salary Slip na kwa bahati mbaya wenzao wanasoma vichwa vya habari tu na kucomment bila kusoma ujumbe mzima. It’s so sad! Nadhani Ray C Kapinga na amejaribu kumpa pole ya kiutu uzimaMbona maneno aliyooandika ni mazuri na mengi yakiwa na maana ya kumtakia mema mginjwa, umeamua kuchukua sentensi ya mwisho ambao anasema ni wimbo na kuupa maana ya ujumbe mzima.
Getwell soon Ruge.
Soma ujumbe wote utaona ulivyopotoshwa nawe ukaingia kingiHuyu alikosana na zamarad au dina marious nimesahau kisa ruge
Wanaoyabuni ni wazungu asee afu wanamsingizia Mungu ambao ata wao hawajawahi muona Dini ni sawa na elimu ya kukariri tuuHivi Mungu hawezi kufuta magonjwa jamani
Waliwahi tifuana sana na Zamaradi kipindi cha nyuma Insta ndio ilikuwa inaanza naona kisa jamaa!!!Huyu alikosana na zamarad au dina marious nimesahau kisa ruge