Ray C wa sasa hadi huruma

haya maisha ya kucopy ya wasanii wetu wa kibongo yanawaponza sana uswahilini
 
Nilienda Mwananyamala Hosp last week kutoa damu, nilimuona ray c na chupa kubwa ya uhai lkn ina juice ndani, alikuwa na miwani myeusi! Hali yake inasikitisha!
Ahahaa ray c nouma

Mpaka umesema Mwananyamala ulienda kufanya nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…