Ray Kigosi asema watu wanakuwa weusi kwasababu ya shida

Ray Kigosi asema watu wanakuwa weusi kwasababu ya shida

He has a point. Mimi ni mweusi ila kuna wiki nilikaa arusha kwenye hoteil ya kifahar. Sababu kule ni baridi. Nilikuwa nikioga maji ya moto tu. Nikajkuta naoga mara mbili had tatu kwa siku. Kurudi kwetu usukmani kla mtu akaanza nishangaa na kudhani labda nimejichubua.

Kusema ukweli nilikuwa hendsome ni hatari mpaka nlpata night stand pale singida ya wtoto wakal hta ckuwai fikiria. Nililala na wadada wawili kwa pmja
 
Ni kweli, mimi zamani nilivyokuwa mambo safi nilikuwa mzungu kabisa, yaani yule mzungu How are you kabisa wala sio utani. Lakini tangu Magu aingie sasa nimebadilika nimekuwa mwafrika kabisa. Usishangae hata Trump akifulia akaanza kuongea Kisukuma.
 
Back
Top Bottom