Ray Kigosi ashangaa kusikia kuwa alikuwa anabebwa na Kanumba

Ray Kigosi ashangaa kusikia kuwa alikuwa anabebwa na Kanumba

Ila Kanumba Alivyofariki Ndipo akapata Umaarufu na Sifa zaidi, ingetokea hata Ray amefariki kabla ya Kanumba basi sifa zote za Kanumba angesifiwa yeye.

Kiufupi watu hawa walikuwa Wanajua na haitakuja kutokea Ushindani Mkubwa kama wa Ray na Kanumba, Kidogo Seba na J Plus walileta Ushindani lakini bado sana.

Ray amepotea BAADA YA KIFO CHA KANUMBA MAANA HANA TENA MSHINDANI. HATA LEO HII ALIKIBA NA HARMONIZE WAKIFA DIAMOND HATASIKIKA KAMA ZAMANI MAANA WASHINDANI WAKE HAWAPO.
(CC: Hopetyga)

Toa maoni yako

mpuuzi sana mwandishi wa makala.
alikiba wakati anatamba na muziki wake below 2010 alikuwa anashindanishwa na mondi?

Wakati diamond anatamba na mziki wake(kabla kiba hajarudi na mwana 2014) alikuwa anashindanishwa na kiba?
 
Kwa baadhi ya filam zao nilizotazama nilisema kanumba anajua kuliko ray.

Mpaka nilipotazama filamu ya dangerous desire ndipo nilipojua kuwa wote ni bora. Lakini umaarufu wanaopata ambao unatokana na ubora wa filam zao unategemea vitu vingi Kama ubora wa stori, team inayosapoti, bajeti, n.k.

sifa anazopewa kanumba ni kama vile kila kitu alikuwa anafanya yeye kumbe kuna timu kubwa iliyonyuma yake ambayo wengine hawakuwa nayo. So by my side wote ni bora ila kanumba alikuwa na timu yenye nguvu zaidi.
 
mpuuzi sana mwandishi wa makala.
alikiba wakati anatamba na muziki wake below 2010 alikuwa anashindanishwa na mondi?

Wakati diamond anatamba na mziki wake(kabla kiba hajarudi na mwana 2014) alikuwa anashindanishwa na kiba?
Kuna yule msanii aliimba .....Simba bila Yanga hainogi
 

Kweli anajua kuigiza, ukimuangalia alivyo na hisa unaweza fikiri ni Denzel Washington😂😂
 
Back
Top Bottom