Ray Kigosi ashangaa kusikia kuwa alikuwa anabebwa na Kanumba

Honestly kwangu mie wote hawajui kuigiza...nikikutana na clips zao chache za wanavyoigiza nabaki kushangazwa

Sasa sijui ufundi wao ni ufundi upi unaoonekana
Wote magarasha hawana skill zaidi ya ujinga mwingi.
 


Haya mabishano yana monetary value? Kuna kitu ya naongeza? Mnajadiliana mambo ya Kijinga na kutaja jiba la Marehemu bila sababu.
 
Umemalizia na "Je nini maoni yako" kama Malisa GJ [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…