Ray Mancini VS Kim Duk Koo: Pambano lililobadilisha ubondia

Katika boxing hizi taasisi za kuusimamia mchezo ni kama vile hazina meno. Kwa maoni yangu na nilichosoma alichotamka Bob Aram ni kwamba promoter anaweza amua bondia wake akutane na nani, haijalishi kama anayetakiwa kukutana naye ni mandatory ama la.

Mfano, Dillian ni mandatory, lakini Bob Aram kasema hawezi kuacha bondia wake apigane na wapinzani wasio na maana hivyo hii franchise title anataka aitumie kumskip Dillian.

So kwa maoni yangu naona hatutakua na undisputed champion, kama ulivyonotice, as kuna mtu ameskip fight hapa. Miaka mbele watu watakua wanabishana ikiwa fight ya AJ na Fury ilitoa the real undisputed champion.

Ni aibu ila mapromota aibu hawana.
 
Kuna kipindi nilisikia tetesi za ajabu sana , kulikuwa kuna uvumi wa kutaka kuwapambanisha mandatory challengers wenyewe kwa wenyewe halafu wawaache Fury na AJ wapambane [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kiukweli ni heri ilibaki kuwa uvumi tu la sivyo kingekuwa ni kitu cha ajabu mno kuwahi kutokea.

Ila hata hivyo Dillian Whyte kutoboa kwa Povetkin napo ni mziki mnene.

AJ kutoboa kwa Kublat Pulev na kutoboa kwa mshindi kwa Usyka napo ni mziki.

Ila hata hivyo sheria ya mandatory fight ni kwamba bondia akishapigana mandatory fight moja itabidi akae mwaka mzima ili apigane mandatory fight nyingine, sasa sijajua hii sheria inatoka ndani ya chama husika au inajumuisha kwa vyama vyote maana AJ ana mandatory title defences kutoka chama cha IBF, na nyingine kutoka chama cha WBO .
 
By this time AJ kashajijua kua overconfidence ni tatizo lililomcost kwa Ruiz second fight alijirekebisha.

Labda Usyka, Chisora akienda kwa AJ atapigwa.

Anyway, promoters wanajali pesa mno. Huo uvumi usishangae kuna watu wakauleta into reality.
 
Itakuwa hapendi style yake ya upiganaji.

Mayweather mwenyewe anakwambia, "If style makes fight, and I beat all the styles, then my style is the best style".
Hahaha mashabiki tunapenda watu waende toe to toe, ndiyo maana best fight kwetu utakuta ni ile ya Hearns na Marvin na nyingine kama hizo ila hatujui boxer anarisk vingapi kukubali kwenda toe to toe.
 
By this time AJ kashajijua kua overconfidence ni tatizo lililomcost kwa Ruiz second fight alijirekebisha.

Labda Usyka, Chisora akienda kwa AJ atapigwa.

Anyway, promoters wanajali pesa mno. Huo uvumi usishangae kuna watu wakauleta into reality.
Inawezekana kwa sababu hata huu uwingi wa titles ni njia moja wapo ya kujiingizia pesa.
 
Hahaha mashabiki tunapenda watu waende toe to toe, ndiyo maana best fight kwetu utakuta ni ile ya Hearns na Marvin na nyingine kama hizo ila hatujui boxer anarisk vingapi kukubali kwenda toe to toe.
Ujue mashabiki wa boxing, wakiweza kuelewa tofauti kati ya boxer, swammer na slugger hawatapata shida ya kuelewa mchezo wa boxing.
 
refa alijiua na uwaraza wake.
 
Ujue mashabiki wa boxing, wakiweza kuelewa tofauti kati ya boxer, swammer na slugger hawatapata shida ya kuelewa mchezo wa boxing.
Ewaa kuna ile natural style ya boxer halafu kuna ile anaona leo nakutana na mtu huyu inabidi niswitch. Mfano Pacquiao ni slugger ila kuna pambano utakuta anakua outboxer.
 
Ewaa kuna ile natural style ya boxer halafu kuna ile anaona leo nakutana na mtu huyu inabidi niswitch. Mfano Pacquiao ni slugger ila kuna pambano utakuta anakua outboxer.
Ila hakuna mashabiki wanafiki kama wa boxing [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watakuwa na wewe ukiwa unashinda tu ukipigwa wanakukataa.

MF: Wilder akipigwa tena na Fury tarajia Wilder kupoteza zaidi ya 60% ya mashabiki wake kama AJ alivyopoteza mashabiki kwenye pambano la kwanza dhidhi ya Andy Ruiz.

MF : Tazama mvuto wa GGG ulivyopungua baada ya kupigwa na Canelo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…